Dr. Mwakyembe ni 'mtendaji mwenye weledi'

Nianze kwa kusema kuwa Dr Harrison George Mwakyembe ni mtu ambaye kwa kiwango chake cha elimu,umri wake na wadhifa wake hastahili hata kidogo kutenda mambo kwa namna anavyotenda katika nchi hii ya tanzania.Kama dr mwakyembe angelikuwa ni raia wa nchi za ulaya na akatenda kama anavyotenda tanzania,Basi angelikwisha fungwa jela au kupigwa marufuku kushughulika na baadhi mambo.Naomba tujikumbushe baadhi ya mambo ambayo dr mwakyembe hakulitendea taifa letu pamoja na wananchi wake kwa kile anachokijua yeye.

1. Dr. mwakyembe alikuwa ni mwenyekiti wa bodi ya benki ya NBC wakati benki hiyo inauzwa na serikali ya mkapa mwaka 1999.Ni huyu huyu mwakyembe aliyekataa katakata uuzwaji wa benki hii,Kiasi kwmba aliitisha maandamano ya wanafunzi wa chuo kikuu dsm ili kupinga uuzwaji wa benki hii ya NBC.Pamoja na maandamano hayo alijiuzulu wadhifa wake wa uwenyekiti wa bodi ya benki hii.Lakini ,tarehe 22/02/2002 alipokuwa kwenye mdahalo kuhusiana na uwekezaji kwenye kipindi kinachorushwa na channel 10,Dr mwakyembe aliunga mkono uuzwaji wa benki hii.Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mwendesha kipindi hicho jenerali ulimwengualimuuliza dr mwakyembe kuwa...nukuu"Dr.ilikuwaje ukapinga kubinafsishwa benki hii hapo mwanzo lkn sasa umekubali kuwa uuzwaji wake ulikuwa sahihi?"...dr mwakyembe alijifanya hakusikia swali ,lkn liliporudiwa dr. alijibu "mwanzoni sikuelewa faida za ubinafsishaji wa benki hiyo lkn sasa nimeelewa na ubinafsishaji huo utakuwa na faida".Leo hii tunapoongea,Ni kweli ubinafsishaji wa benki hiyo ina faida kwetu kama taifa?...HUYO NDIYE DR MWAKYEMBE.

2. Dr mwakyembe ni msomi wa kiwango cha juu katika taaluma yake ya sheria.Machapisho yake yanasomwa dunia nzima na hata kufanyiwa rejea pale inapobidi.Moja ya vitabu alivyoviandika wakati anachukua phd yake ujerumani ilihusu muungano wa tanzania ,kuundwa kwake,uhalali wake kisheria na ridhia ya muungano huo kwa wananchi wa pande mbili zilizoungana.Dr mwakyembe katika kitabu hicho alihitimisha kwa kusema kuwa "muungano wa serikali tatu ndiyo muungano unaotakiwa na kuwafaa wananchi wa tanzania na siyo muungano wa serikali mbili.Lakini huyuhuyu mwakyembe ndiye aliyekana maandishi yake hayo wakati wa bunge la katiba..kwa lugha za kejeli kwa jussa na tundu lisi....Hakujibu hoja zilizotolewa na vijana hao katika bunge la katiba.HUYO NDIYE MWAKYEMBE.

3.Dr mwakyembe ni mwanasheria kitaaluma na vilevile ni mwandishi wa habari.Katika ethics za wanasheria na waandishi wa habari,moja wa vitu wanavyotakiwa kufanya ni kuweka wazi facts na evidance wakati wanafanya kazi zao au wanapotekeleza majukumu yao.Hii ni kinyume kabisa kwa dr mwakyembe....kwa nini?.Dr mwakyembe ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge iliyochunguza sakata la richmond.Ni yeye mwenyewe kwa kinywa kuwa kuna mambo ambayo aliyaficha ili serikali yote isianguke.MWAKYEMBE anajua kuwa hilo ni kosa kwa mujibu wa taaluma yake na sheria.Vilevile bunge halikumtuma kuficha baadhi ya mambo kama anvyodai alizificha.MWAKYEMBE Kama mwanasheria aliyebobea,Anafahamu fika kuwa serikali yetu inaundwa na rais na siyo waziri mkuu.Rais ndiye mwenye serikali...na ndiyo maana rais wetu hutamka ...serikali yangu....spika..bunge langu..jaji mahakama yangu...waziri...wizara yangu nk.Kwa maneno ya mwakyembe kuwa alificha baadhi ya mambo ili serikali yote isianguke,Alikuwa na maana ya rais kikwete ambaye ndiye mwenye serikali na siyo waziri mkuu.Kwa nini mwakyembe asienende katika taaluma yake?..HUYO NDIYE MWAKYEMBE.


4.Wakati mwakyembe akiwa ni waziri wa uchukuzi aliingia kwa mbwembwe nyingi sana wizarani hapo na kutangaza kiama kwa mafisadi na wazembe.Aidha ktk kipindi hicho,dr mwakyembe alikuwa akionekana angalau kila wiki kwenye viombo vya habari akielezea alivyo mchapa kazi hodari na mpambanaji wa ufisadi.Lakini ni yeye aliyefanya kinyume na matarajio ya watanzania wengi.Aliagiza mabehewa feki,aliipa zabuni kampuni ya VIP ENG Ya james rwegamalila ya kujenga reli kinyume cha sheria ya manunuzi ya umma,Aliipa CCM eneo la bandari ili wajenge yard ya kuhifadhi makontena,Ni yeye aliyeondoa baadhi ya tozo zilizokuwa zikitozwa kwa kampuni ya TICS Ya KARAMAGI...yule wa richmond.HUYU NDIYE MWAKYEMBE.


Mara nyingi Dr Mwakyembe anapokuwa amebanwa katika mambo machafu na ya kifisadi anayoyatenda,Amekuwa akitumia lugha za dharau na kejeli ili akwepe kujibu tuhuma zinazomkabili.Ninamuomba dr mwakyembe anijibu neno moja tu...SIHUSIKI NA MAMBO HAYO...Baada ya hapo nitaweka na ushahidi usio na shaka.Lakini nitaweka wazi jinsi alivyopata fedha za miradi yake ambayo anamiliki kupitia ndugu zake huku akidhani watanzania ni mbumbumbu.

Shallow analysis iliyojaa umbea tu. In short, to quote Mzee Mkapa, wewe ni Mpumbavu tu. Mwacheni Mwakyembe atumie elimu yake kuwa-zodoa akina Lowassa ambao nyie mnawaabudu!
 
Nianze kwa kusema kuwa Dr Harrison George Mwakyembe ni mtu ambaye kwa kiwango chake cha elimu,umri wake na wadhifa wake hastahili hata kidogo kutenda mambo kwa namna anavyotenda katika nchi hii ya tanzania.Kama dr mwakyembe angelikuwa ni raia wa nchi za ulaya na akatenda kama anavyotenda tanzania,Basi angelikwisha fungwa jela au kupigwa marufuku kushughulika na baadhi mambo.Naomba tujikumbushe baadhi ya mambo ambayo dr mwakyembe hakulitendea taifa letu pamoja na wananchi wake kwa kile anachokijua yeye.

1. Dr. mwakyembe alikuwa ni mwenyekiti wa bodi ya benki ya NBC wakati benki hiyo inauzwa na serikali ya mkapa mwaka 1999.Ni huyu huyu mwakyembe aliyekataa katakata uuzwaji wa benki hii,Kiasi kwmba aliitisha maandamano ya wanafunzi wa chuo kikuu dsm ili kupinga uuzwaji wa benki hii ya NBC.Pamoja na maandamano hayo alijiuzulu wadhifa wake wa uwenyekiti wa bodi ya benki hii.Lakini ,tarehe 22/02/2002 alipokuwa kwenye mdahalo kuhusiana na uwekezaji kwenye kipindi kinachorushwa na channel 10,Dr mwakyembe aliunga mkono uuzwaji wa benki hii.Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mwendesha kipindi hicho jenerali ulimwengualimuuliza dr mwakyembe kuwa...nukuu"Dr.ilikuwaje ukapinga kubinafsishwa benki hii hapo mwanzo lkn sasa umekubali kuwa uuzwaji wake ulikuwa sahihi?"...dr mwakyembe alijifanya hakusikia swali ,lkn liliporudiwa dr. alijibu "mwanzoni sikuelewa faida za ubinafsishaji wa benki hiyo lkn sasa nimeelewa na ubinafsishaji huo utakuwa na faida".Leo hii tunapoongea,Ni kweli ubinafsishaji wa benki hiyo ina faida kwetu kama taifa?...HUYO NDIYE DR MWAKYEMBE.

2. Dr mwakyembe ni msomi wa kiwango cha juu katika taaluma yake ya sheria.Machapisho yake yanasomwa dunia nzima na hata kufanyiwa rejea pale inapobidi.Moja ya vitabu alivyoviandika wakati anachukua phd yake ujerumani ilihusu muungano wa tanzania ,kuundwa kwake,uhalali wake kisheria na ridhia ya muungano huo kwa wananchi wa pande mbili zilizoungana.Dr mwakyembe katika kitabu hicho alihitimisha kwa kusema kuwa "muungano wa serikali tatu ndiyo muungano unaotakiwa na kuwafaa wananchi wa tanzania na siyo muungano wa serikali mbili.Lakini huyuhuyu mwakyembe ndiye aliyekana maandishi yake hayo wakati wa bunge la katiba..kwa lugha za kejeli kwa jussa na tundu lisi....Hakujibu hoja zilizotolewa na vijana hao katika bunge la katiba.HUYO NDIYE MWAKYEMBE.

3.Dr mwakyembe ni mwanasheria kitaaluma na vilevile ni mwandishi wa habari.Katika ethics za wanasheria na waandishi wa habari,moja wa vitu wanavyotakiwa kufanya ni kuweka wazi facts na evidance wakati wanafanya kazi zao au wanapotekeleza majukumu yao.Hii ni kinyume kabisa kwa dr mwakyembe....kwa nini?.Dr mwakyembe ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge iliyochunguza sakata la richmond.Ni yeye mwenyewe kwa kinywa kuwa kuna mambo ambayo aliyaficha ili serikali yote isianguke.MWAKYEMBE anajua kuwa hilo ni kosa kwa mujibu wa taaluma yake na sheria.Vilevile bunge halikumtuma kuficha baadhi ya mambo kama anvyodai alizificha.MWAKYEMBE Kama mwanasheria aliyebobea,Anafahamu fika kuwa serikali yetu inaundwa na rais na siyo waziri mkuu.Rais ndiye mwenye serikali...na ndiyo maana rais wetu hutamka ...serikali yangu....spika..bunge langu..jaji mahakama yangu...waziri...wizara yangu nk.Kwa maneno ya mwakyembe kuwa alificha baadhi ya mambo ili serikali yote isianguke,Alikuwa na maana ya rais kikwete ambaye ndiye mwenye serikali na siyo waziri mkuu.Kwa nini mwakyembe asienende katika taaluma yake?..HUYO NDIYE MWAKYEMBE.


4.Wakati mwakyembe akiwa ni waziri wa uchukuzi aliingia kwa mbwembwe nyingi sana wizarani hapo na kutangaza kiama kwa mafisadi na wazembe.Aidha ktk kipindi hicho,dr mwakyembe alikuwa akionekana angalau kila wiki kwenye viombo vya habari akielezea alivyo mchapa kazi hodari na mpambanaji wa ufisadi.Lakini ni yeye aliyefanya kinyume na matarajio ya watanzania wengi.Aliagiza mabehewa feki,aliipa zabuni kampuni ya VIP ENG Ya james rwegamalila ya kujenga reli kinyume cha sheria ya manunuzi ya umma,Aliipa CCM eneo la bandari ili wajenge yard ya kuhifadhi makontena,Ni yeye aliyeondoa baadhi ya tozo zilizokuwa zikitozwa kwa kampuni ya TICS Ya KARAMAGI...yule wa richmond.HUYU NDIYE MWAKYEMBE.


Mara nyingi Dr Mwakyembe anapokuwa amebanwa katika mambo machafu na ya kifisadi anayoyatenda,Amekuwa akitumia lugha za dharau na kejeli ili akwepe kujibu tuhuma zinazomkabili.Ninamuomba dr mwakyembe anijibu neno moja tu...SIHUSIKI NA MAMBO HAYO...Baada ya hapo nitaweka na ushahidi usio na shaka.Lakini nitaweka wazi jinsi alivyopata fedha za miradi yake ambayo anamiliki kupitia ndugu zake huku akidhani watanzania ni mbumbumbu.

Bla bla za wafuasi wa Lowassa wanaochomwa na bold revelations za Dk. Mwakyembe. Hakuna kichwa wala miguu kwenye mkeka huo mrefu usio na ukweli wala mantiki. Mwakyembe kaenda Shule bana, si kama Ngoyai mwigizaji per excellence!
 
Mwakyembe ni TAP.ELI anatafutwa na Interpol lwa kumutapeli Mkorea mabilioni ya pesa kwa kisingizio kwamba anakwenda kuweza kwenye umeme wa UPEPO huko Singida.
 
MWAKYEMBE NA MKAPA NDIO WALIOIUZA NBC BANK,hii ilikuwa bank ya kwanza kuoperate na kuwasaidia sana watanzania,waliiuza wakapiga fedha za kutosha ndio maana mpk leo anaitetea sana CCM.
 
Mjinga kuwa mjinga ni jambo la kawaida na linahitaji wakati na kuelimishwa.
Lakini msomi kuwa mjinga ni hasara kwani ana nafasi ya kuongeza idadi ya wajinga kuwa wengi kwani atawapotosha wengi.
Mwakyembe ni msomi mjinga hivyo ni hasara kubwa kwa taifa. Anapaswa aepukwe.

Nakubaliana na maneno ya mnyika kuwa ni bora kutokuelimika ukiwa tanzania............mwakyembe ni aibu kwa taifa........ni aibu kwa wasomi wa taifa hili kama ilivyo kwa lipumba
 
Nakubaliana na maneno ya mnyika kuwa ni bora kutokuelimika ukiwa tanzania............mwakyembe ni aibu kwa taifa........ni aibu kwa wasomi wa taifa hili kama ilivyo kwa lipumba

Hahahaha...
 
Back
Top Bottom