yupo sana tu, alitumbuliwa ikambidi ahamie kwenye biashara ya vipodozi vya asili yaani vinavyotokana na mimea kama ilivyokuwa madawa yake, lakini nasikia wateja wake (kinamama) bado wanamuamini wanamfuata kimyakimya kwa ishu za kidaktari
yani mama zetu jamaniii!! hata umuelimishe vp hawakuelewi.. hawa madokta mimea pamoja na manabii wa siku hizi sijui wamewapa nini kina mama................binafsi bora nikafie hospalini.
yani mama zetu jamaniii!! hata umuelimishe vp hawakuelewi.. hawa madokta mimea pamoja na manabii wa siku hizi sijui wamewapa nini kina mama................binafsi bora nikafie hosptalini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.