Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 12
Whatever it is he will pull through... Wakoloni walishachukua sana sema tu bahati mbaya he got caught up. He is not called Dr for nothing and he will sure roll the dice once again!
Whatever it is he will pull through... Wakoloni walishachukua sana sema tu bahati mbaya he got caught up. He is not called Dr for nothing and he will sure roll the dice once again!
huyu kijana amesahau fadhila, babake mzee malakasuka enzi zake na kampuni ya ujenzi walikuwa wakipeana miradi mikubwa ya kujenga benki na dr amon nsekekla, mzee akawa tajiri akawapeleka huko ulaya wakasome badala ya kusoma na kurudi kuja ku-expand business ya baba yao, wamegeuka kuwa majizi huko ulaya. mzee wao amefilisika nyumba yake ya mbeya iliyokuwa inaitwa white house choka mbaya hata umeme na maji umekatwa, sasa anaishi lile flat la national housing pale victoria, wanakopaki zile benzi za kukodisha harusini, isije ikawa na zile benzi ni za mponjoli
Jamaa ni mgonvi balaa...
Jamaa hata UK wakimpiga chini ataingia nchi yeyote Europe au hata Canada na upigaji utaendelea...the dude is only 36 na anahasira ya hela ile mbaya.
Kama kweli ni Dr. basi msiwe na wasiwasi na yeye.
Amini usiamini, watu kama hawa, siku akiacha wizi, atagongwa gari (mfano) na kufa siku hiyohiyo. Ni kweli kuwa mwisho wake utakuwa mbaya ila hakuna ajuaye mwisho wake utakuwaje. Huko jela inawezekana sasa ndiyo anakula shule ya juu na akitoka huko atakuwa Profesa. Anaweza asiwe UK au USA. Anaweza kwenda nchi nyingine nyingi tu na kuendelea na utapeli wake na si lazima Tanzania.
Mtu kama yeye lazima atakuwa ni middleman. Unaweza kukuta hayo magari wala haibi ila anayachukua na jamaa wanatangaza wameibiwa na kulipwa Bima. Au kuna watoto wa kihuni wanaiba na wanamletea, yeye kama boss anacash na kuanza kufanya mpango wa kuyatoa nje ya nchi. Ukimwangalia sana utagundua tu kuwa ni mtu wa kudeal na makaratasi na si kwenda kukurupusha Mbwa kwenye majumba ya matajiri wa UK. Nina uhakika kama ilivyo Dar, kuna vibaka waliokubuhu kuiba kwenye nyumba za watu na wakiiba ndiyo wanamletea Mponjoli.............
All in all, kama mali zake zote kaziweka basi poa ila kama kazila basi ndiyo tofauti kubwa kati yetu na Wayahudi. Angelikuwa Myahudi, angelikaa kimya na akamaliza kifungo chake. Akitoka basi kama jamaa walivyosema, anafungua miradi mikubwa tu Tanzania huku sehemu kubwa akiwa kachukua mkopo wa Bank ili isiwe rahisi kusema ni mali ya wizi....... Nampa pole yeye na familia yake. Ndiyo maisha aliyochagua........ Wanasema utamu wa pilipili.......
Mungu ampe umri mrefu wazungu walie zaidi.
Katika multi-ethnic societies kama Marekani na Uingereza nini kinakufanya udhanie kuwa victims wote ni wazungu? Unless awe anawalenga wazungu tu katika wizi na udokozi wake la sivyo sidhani hata wewe ukijilengesha lengesha kwenye anga zake atakulazia damu.
Ame-choose upuuzi hakuna cha life hapo...gangster is not life...ulimbukeniI salute you MJ!......
Ila bana watanzania noma...wakati dude ana make rain alivyokuwa USA wapambe walikuwa kibao...alivyoingia ndani tuu wale wale wapambe wakaanza kummaliza mtaani.....ila hawakumbuki fadhila (twende mbele turudi nyuma...of course ndiyyo anachofanya siyo kizuri lakini ni mtu mmoja mwenye rohonzuri sanaaaa).....Akaja ku win London wapambe wakarudi tena ila this time he knew better ku deal na wabongo.....na sasa bado filimbi zinapigwa daaaah!......ni life ambayo yeye ame choose to live...kama ww na mimi tume choose kuishi kwa pay check kwa pay check.....and life goes on....
i meant hao hao babu
Ame-choose upuuzi hakuna cha life hapo...gangster is not life...ulimbukeni
Ame-choose upuuzi hakuna cha life hapo...gangster is not life...ulimbukeni
Hao hao kina nani? Maana Wamarekani wote sio wazungu na Waingereza wote sio wazungu...au hujui hilo?