Dr. Manyaunyau ahukumiwa jela miaka 3 kwa kushindwa kufufua mtu

Status
Not open for further replies.
Manyau nyau yule mtaalmu wa kunyonya damu za paka ...?
hakika na afungwe maana mbagala na temeke aliisha geuka kero.
Siyo huyo, hiyo picha na habari ni tofauti, mnyonya damu za paka jina lake anaitwa Jongo yupo na leo tumepiga supu asubuhi bar moja mitaa fulani. by the way hivi wewe unaamini kuna binadamu mwenye uwezo wa kumchinja paka? unamjuwa paka wewe?

Kile ni kiini macho ile ni midoli ya kisauzi anayonyonya ni tomato source na siyo damu, kama humjui paka mvute mkia halafu utarudi hapa kutoa ushuhuda ndio utatueleza kama manyaunyau huwa anayonya damu ya paka au anawapiga kiini macho?
 
To be fair hata kidogo tu,

Aliyetoa fedha naye angetandikwa hata viboko ili kumuamsha ktk usingizi na kutuma ujumbe kwa wengine waliolala usingizini kama yeye.


Jagarld.
 
Teh Teh....
Wajinga ndio waliwao!
Hata Ngwajima ilibidi akamatwe kwa utapeli maana alishawadanganya watu wengi kuwa ana fufua!

Hata mlonzi mkuu wa jf bwana mshana jr inabidi atazamwe...Teh Teh

Hahhahahaaaa hiki cheo ulichonipa Duu ....ila nakubali na najitolea kutazamwa
 
Last edited by a moderator:
hawa ndo wale wanatumia anesthetics kumnusisha mtu anaanguka unadanganywa kasafirishwa kwenda sijui wapi alafu anakushtua kwa kutumia stimulant unaamka then unahisi ana nguvu ya kumuangusha mtu kumbe nuksi tu.
Ngoja wajinga waliwe until people stop believing in this ----, elimu imewapita pembeni wabongo wengi sana.
 
Halafu siyo ajabu aliyetapeliwa ni mtu na shule yake ila maarifa hana!!!!
 
Mtu ametapeli kiasi milioni 29.6 amepewa hukumu miaka 3 jela na faini ya milioni 10.
Duh hizi hukumu nyingine zinazotolewa zinatia wasi wasi kuna harufu ya rushwa hapo
 
Halafu siyo ajabu aliyetapeliwa ni mtu na shule yake ila maarifa hana!!!!

Mjinga sana huyu alitoa pesa milioni 29.6 akisubiri ndugu yake afufuliwe na mganga wa kienyeji .wajinga ndo waliwao
 
....kujipatia fedha Sh milioni 29.6 faini sh million 10 tu!!au inayobaki ndo miaka mitatu jela!
 
Siyo huyo, hiyo picha na habari ni tofauti, mnyonya damu za paka jina lake anaitwa Jongo yupo na leo tumepiga supu asubuhi bar moja mitaa fulani. by the way hivi wewe unaamini kuna binadamu mwenye uwezo wa kumchinja paka? unamjuwa paka wewe?

Kile ni kiini macho ile ni midoli ya kisauzi anayonyonya ni tomato source na siyo damu, kama humjui paka mvute mkia halafu utarudi hapa kutoa ushuhuda ndio utatueleza kama manyaunyau huwa anayonya damu ya paka au anawapiga kiini macho?

Manyaunyau jina lake halisi anaitwa Jongo.
 
Ni bora kama mtu umefiwa kifo cha kutatanisha bora upeleke kanisani watu waombe na kuvunja roho ya mauti na mwisho kama ikiwa vp badae kama Mungu ameruhusu wazike tuu lkn kama sio mpango wa Mungu marehemu anaweza kuamka tena.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom