Dr Lwaitama: CCM wakimsimamisha Dr. Salim A. Salim watashinda Urais

Wanajamvi,

Nimemsikia Dr. Rwaitama akihojiwa na mwandishi wa habari wa kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya DW Ujerumani akasema hotuba ya mwenyekiti wa CCM haitasaidia kubadili hali ya mpasuko ndani ya CCM labda sera zake zitekelezwe.

Mwisho akasema ktk uchaguzi 2015 wanaweza kushinda kama watamsimamisha Bw. Salim A. Salim kama mgombea wa urais na si vinginevyo.

My take:
Walishindwa kumpa nafasi hiyo 2005 wataweza hivi sasa na pesa hizi za mtandao?

Salim A Salim asikubali kubeba mzigo huu kwa kuwa si mnyamwezi,kwa mwanaccm tena mwanadiplomasia anatakiwa aruke mbali kwelikweli kwani 2015 si lelemama CHADEMA kitakuwa kama FARU ALIYEJERUHIWA,SAS ANALIJUA HILO.
 
Salim A Salim asikubali kubeba mzigo huu kwa kuwa si mnyamwezi,kwa mwanaccm tena mwanadiplomasia anatakiwa aruke mbali kwelikweli kwani 2015 si lelemama CHADEMA kitakuwa kama FARU ALIYEJERUHIWA,SAS ANALIJUA HILO.

Huo ndo ukweli kwa mtini jifunzeni! Chaguzi za serikali za mtaa zinazoendelea kwasasa nchini zinatoa dira ya 2014 kuelekea 2015! CHADEMA inaichakaza CCM vibaya sana bila huruma!
 
Wanajamvi,

Nimemsikia Dr. Rwaitama akihojiwa na mwandishi wa habari wa kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya DW Ujerumani akasema hotuba ya mwenyekiti wa CCM haitasaidia kubadili hali ya mpasuko ndani ya CCM labda sera zake zitekelezwe.

Mwisho akasema ktk uchaguzi 2015 wanaweza kushinda kama watamsimamisha Bw. Salim A. Salim kama mgombea wa urais na si vinginevyo.

My take:
Walishindwa kumpa nafasi hiyo 2005 wataweza hivi sasa na pesa hizi za mtandao?

hamna kitu hapo.
 


@Bubu Msemaovyo,

..angekuwa Mtanganyika asingeteuliwa balozi akiwa na miaka 22.

..enzi hizo mabalozi walikuwa wasomi wa Makerere, au Machifu.

..zaidi nafasi zote alizotumikia ni kwa njia ya kubebwa-bebwa tu.

..binafsi naheshimu rekodi ya Prof.Tibaijuka kuliko ya "Dr".Salim Salim. Kwanza, Prof Tibaijuka nafasi zake amezipata kutokana na elimu na CV yake, Salim yeye amezipata kwa kusimama nyuma ya jina la Tanzania. Zaidi, Prof.Tibaijuka ni msomi wa kweli, she defended her PhD, Salim Salim ana udaktari wake ni wa heshima.

Sifa za kiongozi hazitokani na academic achievement............... Inaelekea hujawahi kumsikia Salim akiongea na vyombo vya habari!! Kama inawezekana wape mdahalo uone kama Tibaijuka ataweza!!! Kwa ukweli uwezo anao ila kwa sasa siyo muda mwafaka. Nafikiri 2005 Mkapa alibugi step kumpiga chini. Nafikiri atakuwa anajilaumu kwa kosa hili.

Anyway, kura yangu ni kwa Silaa. Period!!
 
Wanajamvi,

Nimemsikia Dr. Rwaitama akihojiwa na mwandishi wa habari wa kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya DW Ujerumani akasema hotuba ya mwenyekiti wa CCM haitasaidia kubadili hali ya mpasuko ndani ya CCM labda sera zake zitekelezwe.

Mwisho akasema ktk uchaguzi 2015 wanaweza kushinda kama watamsimamisha Bw. Salim A. Salim kama mgombea wa urais na si vinginevyo.

My take:
Walishindwa kumpa nafasi hiyo 2005 wataweza hivi sasa na pesa hizi za mtandao?

dhambi ya isbulah walioitumia kina rostam na kundi lake la mtandao ambao ulimfanya jk kuwa rahisi imeisha?
 
Wanajamvi,

Nimemsikia Dr. Rwaitama akihojiwa na mwandishi wa habari wa kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya DW Ujerumani akasema hotuba ya mwenyekiti wa CCM haitasaidia kubadili hali ya mpasuko ndani ya CCM labda sera zake zitekelezwe.

Mwisho akasema ktk uchaguzi 2015 wanaweza kushinda kama watamsimamisha Bw. Salim A. Salim kama mgombea wa urais na si vinginevyo.

My take:
Walishindwa kumpa nafasi hiyo 2005 wataweza hivi sasa na pesa hizi za mtandao?

Nitamshangaa sana Dr. Salim kukubali kugombea tena uraisi! nina uhakika matusi na kashfa zilizoelekezwa kwake mwaka 1995 na 2005 vitajirudia tena na kwa hasira zaidi maana wazanzibari wana nongwa mbaya sana na Dr. Salim.

Bora Mzee wa watu aendelee na mapumziko yake kwa amani.

Kwa bahati mbaya dr. Salim atabaki kuwa rais ambaye Tanzania imemkosa kumpata ambaye angeipaisha chati sana.
 
Miaka kumi iliyopita alikuwa muafaka kuwa Rais lakini kwa sasa mwacheni apumzike, ale pensheni zake..
Mikiki hataiweza .
 
Sifa za kiongozi hazitokani na academic achievement............... Inaelekea hujawahi kumsikia Salim akiongea na vyombo vya habari!! Kama inawezekana wape mdahalo uone kama Tibaijuka ataweza!!! Kwa ukweli uwezo anao ila kwa sasa siyo muda mwafaka. Nafikiri 2005 Mkapa alibugi step kumpiga chini. Nafikiri atakuwa anajilaumu kwa kosa hili.

Anyway, kura yangu ni kwa Silaa. Period!!

@Mr.Zero,

..hata mimi kura yangu ni kwa Dr.SLAA!!

..I am not comparing them in academics only.

..Proffesionally, Prof.Tiba ameachive zaidi ya Dr.Salim.

..Prof.Tibaijuka ame-serve UN as long as Dr Salim alivyo-serve OAU.

..Program aliyoongoza Prof.Tibaijuka was a global project, wakati Salim yeye alikuwa ana-deal na Afrika peke yake.

..mdahalo is not the only thing that should determine who is a better candidate. tunatakiwa tuangalie rekodi yao yote, kuanzia kwenye academics[shahada zao, paper walizo publish, vitabu walivyoandika], baada ya hapo tuangalie wametumiaje elimu yao, maadili yao, etc etc.

NB:

..CCM walikuwa na mgogoro na Prof.Tibaijuka kwasababu alitaka kuanzisha baraza la wanawake Tanzania. matokeo yake wakamtenga na kuwa wanaficha mafanikio ya kazi zake wakati akiwa UN.

..Prof.Tibaijuka, Raisi Mkapa, na Waziri Mkuu Meles Zenawi, walikuwa wajumbe wa tume ya Tony Blair on Africa. kwa maana nyingine mataifa ya nje yalikuwa yanamlinganisha Prof.Tibaijuka na viongozi wa nchi za Kiafrika.
 
@Mr.Zero,

..hata mimi kura yangu ni kwa Dr.SLAA!!

..I am not comparing the in academics only.

..Proffesionally, Prof.Tiba ameachive zaidi ya Dr.Salim.

..Prof.Tibaijuka ame-serve UN as long as Dr Salim alivyo-serve OAU.

..Program aliyoongoza Prof.Tibaijuka was a global project, wakati Salim yeye alikuwa ana-deal na Afrika peke yake.

..mdahalo is not the only thing that should determine who is a better candidate. tunatakiwa tuangalie rekodi yao yote, kuanzia kwenye academics[shahada zao, paper walizo publish, vitabu walivyoandika], baada ya hapo tuangalie wametumiaje elimu yao, maadili yao, etc etc.

NB:

..CCM walikuwa na mgogoro na Prof.Tibaijuka kwasababu alitaka kuanzisha baraza la wanawake Tanzania. matokeo yake wakamtenga na kuwa wanaficha mafanikio ya kazi zake wakati akiwa UN.

..Prof.Tibaijuka, Raisi Mkapa, na Waziri Mkuu Meles Zenawi, walikuwa wajumbe wa tume ya Tony Blair on Africa. kwa maana nyingine mataifa ya nje yalikuwa yanamlinganisha Prof.Tibaijuka na viongozi wa nchi za Kiafrika.

Dr. Salim alienda india kuwa Balozi as a form four graduate na akapata his bachelors akiwa balozi wa Tanzania nchini india; pia he did his masters akiwa kazini UN - NY; his doctorate ni ya heshima; Kwahiyo in terms of academics, amesoma lakini sio msomi wa viwango vya kina Tibaijuka, na hata wengine kadhaa; Ila uzoefu katika masuala ya kimataifa anao, na kwa utamaduni wetu kwamba ukiwa na uelewea na upeo wa nchi za n'gambo unafaa kuwa rais, then sifa hiyo anayo; Vinginevyo ana madhaifu kadhaa kama ilivyo wengine ikiwa ni lack of experience na local issues, especially on the grassroots, also in the views of many, hes another migiro i.e. kiongozi wa mbeleko kwani hajawahi kuchaguliwa au kuaminiwa na wananchi bali kuteuliwa/kupendekezwa kutokana na ukaribu na mamlaka za utawala, throughout his career; Na pia he needs to sort out tatizo lake na wenye chama visiwani [ASP = CCM Zanzibar, TANU = CCM Tanganyika];

That said and done, hatokuwa chaguo baya kusimamishwa na CCM 2015 ingawa hatokuwa a better candidate among many; Ingawa my take is - iwapo mgombea kama Membe, Lowassa, Makamba, Sitta atamchukua Salim kama running mate na iwapo kwa kufanya hivyo itakuwa ni sawa tu given the fact that he vied for a higher post at least twice in his career, thats gonna be much easier for him kuwa kiongozi wa juu wa nchi tena and with all due respect to Chadema, that's gonna be a hard ticket for Chadema and Dr. Slaa to beat and i am sure Dr. Slaa and co are aware of this fact;
 
Mwalimu Lwaitama , hata wakikusimamisha wewe pamoja na uadilifu wako hutashinda kwa sababu mfumo wao umeoza , huwezi kukaanga mayai viza pamoja na mazuri ukafikiri unaweza kula .....tafakari chukua tahadhari Mwalimu ....
 
Mchambuzi,

..tatizo lingine la SALIM SALIM ni kwamba yuko too comfortable na huu UOZO unaoendelea ndani ya CCM.

..binafsi sijawahi kumsikia Salim Salim akikemea ufisadi, ukabila, udini, mambo ambayo Mwalimu aliyapinga kwa nguvu zote, yet watu wanamtambulisha kama mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu Nyerere.

..zaidi, hivi JK alishamuomba msamaha kwa zile kashfa walizomzulia wakati wa kampeni za mwaka 2005??
 
Mchambuzi,

..tatizo lingine la SALIM SALIM ni kwamba yuko too comfortable na huu UOZO unaoendelea ndani ya CCM.

..binafsi sijawahi kumsikia Salim Salim akikemea ufisadi, ukabila, udini, mambo ambayo Mwalimu aliyapinga kwa nguvu zote, yet watu wanamtambulisha kama mwanafunzi mwaminifu wa Mwalimu Nyerere.

..zaidi, hivi JK alishamuomba msamaha kwa zile kashfa walizomzulia wakati wa kampeni za mwaka 2005??

Mimi kwa ukweli kabisa bila unafiki, i am not a big fan of SAS; I dont see him as a good leader kwani kipimo changu ni Nyerere foundation, na since amefariki, kinachoendelea ni aibu, ingekuwa chini ya mtu kama Mkapa, this foundation ingekuwa mbali sana, hata kama Mkapa asingekuwa Rais wa Tanzania 1995 - 2005; Otherwise foundation imegeuka kuwa mradi wa marafiki wa Mwalimu kuishi mjini;

Kuhusu yeye kuwa comfy na uozo wa CCM, sidhani kama ana option kwani ndani ya CCM kuna kundi ambalo halimkubali (kundi la wenye chama ZNZ), kwahiyo upande wa bara hana jinsi zaidi ya kuwa nao hata kwa unafiki kwani thats the only way ataungwa mkono and survive in politics etc;

Kuhusu ugomvi wake na mtandao 2005, kwa kweli suala hili linakuwa ni spinning tu kwani mtandao haujatunga maneno yale bali kilichotokea ni mtandao kutumia hoja ambayo ipo siku nyingi na ndio iliyomwangusha asipate urais 1985, na pia 1995 mwalimu alipo beep; So wa kumuomba msamaha ni a certain faction ya ASP = CCM Zanzibar, sio mtandao;
 
Back
Top Bottom