johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,371
- 142,612
Dr Kigwangala amesema wakati wote alipokuwa Waziri alikuwa analindwa na Walinzi kutoka Ikulu na hakuruhusiwa kutembea peke yake
Kigwangala amesema ni makosa mawaziri kutokea Kwenye Ripoti ya CAG kwa sababu Waziri siyo Afisa masuhuli hata Yeye aliwekwa kimakosa
Dr Kigwangala amesema Ili kuthibitisha Yeye hakutumia Ndege za Tanapa kwenda kula bata na Wanawake waulizeni Walinzi wa Ikulu kwani wanaujua ukweli
Source Jambo TV
Kigwangala amesema ni makosa mawaziri kutokea Kwenye Ripoti ya CAG kwa sababu Waziri siyo Afisa masuhuli hata Yeye aliwekwa kimakosa
Dr Kigwangala amesema Ili kuthibitisha Yeye hakutumia Ndege za Tanapa kwenda kula bata na Wanawake waulizeni Walinzi wa Ikulu kwani wanaujua ukweli
Source Jambo TV