mlimbwa1977
Member
- Feb 7, 2011
- 24
- 0
Chuo kikuu cha DSM kimempoteza mhadhiri wake dr. Katunzi (aliwahi kuwa mbunge) aliyefariki jioni ya leo akiwa darasani akifundisha.
Kwa hakika ni pigo kubwa kwa jamii ya wasomi wa chuo hicho kikongwe nchini.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu ameen.
Kwa hakika ni pigo kubwa kwa jamii ya wasomi wa chuo hicho kikongwe nchini.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu ameen.