Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Hebu nijuzeni wakuu wangu JK kafuata nini Brazili manake sijaelewa link ya sisi na wapiga Samba. Au ameenda kucheki yale mabasi niliyosikia yanatoka huko?
''Mtoto wa mwenzio mbebe kalala akiwa macho atauliza mamake alipo''
Watanzania wameamka wanauliza raslimali zao zi wapi.
''Mtoto wa mwenzio mbebe kalala akiwa macho atauliza mamake alipo''
Watanzania wameamka wanauliza raslimali zao zi wapi.