Sasa hivi Nzega hakuna mwanasiasa maarufu kushinda Kigwangalla, yaani watu wa Nzega watamchagua tu hata kama asipopiga kampeni. Jamaa amefanya kazi kubwa sana ndani ya muda mfupi ukilinganisha na Selelii aliyekaa miaka 15! Pia analimudu jukwaa vizuri. Msomali alishakufa kabisa kisiasa na hawezi hata kufikisha robo ya umaarufu wa Kigwangalla, ambaye anakaa jimboni muda mrefu, anafanya mikutano mingi na anajichanganya na watu wa aina zote. Akipita watu wanashangilia!Ashajipima na kuona hakatishi hata kwenye primaries kwa msomali