mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake.
Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania!
jAMANI MAOMBI NI YA KILA MTU ILA THREAD HII NI KUWA WATU WA KYELA WANASEMAJE?CCM NI WAUWAJI BADO WANAAMINI CCM
Lakini Watanzania tu wepesi wa kusahau mambo.Katika hili mimi bado nakumbuka kauli ya Mwakyembe wakati anaongea Bungeni kwamba kuna mambo hakuyasema kwenye ripoti ya tume aliyoongoza kuhusu suala la Richmond.Kwa mtu makini katika kuhisi ni nani mshirika wa genge hili la kumuangamiza Mwakyembe huwezi kuacha hisia zako zianzie hapo.Unajuwa ukiijuwa kweli utawekwa huru. Nilazima ujuwe maana ya kiongoz ktk Kibiblia.. Rais anahaki yakulindwa 100%. K.
bora afe tu ili tuone nn kitatokea,natamani afe ili tulianzishe na je tuone kha huyo mnaemwita EL ataenda pande hizo kwani huko ndiko kuna makanisa mengi,
We mganga wa kienyeji? au mtabiri!
Atapona katika Jina moja lililo Kuu na damu takatifu iliyomwagika pale Kalvari,Yaani Jina la Yesu!
Mwakyembe Pona katika Jina la Yesu! Wote JF semeni Amen!
outstandingNamjibia kuwa si mganga wala mtabiri bali ni mhubiri.
View attachment 47825
Swali , ni je yule secretary aliumwa kwa muda gani , then tutajua Dr yupo katika kundi gani ...
Ila so far, uwezekano wa Dr kupona ni mkubwa
Kwa ule unga anaokoboa na kusaga sioni akipona kabisa. kama sumu alipewa na mafisadi na ndio wanamtibu India, jamani si ni kiini macho hiki?? Wana Kyela anzeni kunadaa mbunge mpya
eti wakuu, .............................huyu ndiye mwakyembe mpya??................................................... dah!!.................., kweli kabisa anastahili maombi....................
eti wakuu, .............................huyu ndiye mwakyembe mpya??................................................... dah!!.................., kweli kabisa anastahili maombi....................
I stand strong to say Dr Mwakyembe is a foolish,
Ndugu Watanzania nikiwa mtanzania mwenye Imani thabiti napenda kuwahakikishia yakuwa Dr Harison Mwakiembe atapona, baada yakuwepo gumzo kubwa kila kona ya Tanzania at the last Dr Harson atapona, pamoja yale ametendewa kama ametegwa ama wamefanyaje ila Mungu alie lifanya Taifa la Tanzania anataka watanzania na dunia kuwa yupo Mungu alie Hai. Dr Harson si wakwanza kupita ktk mapito mazito ila ilimpasa kuyapita ili Mungu akatukuzwe na wale ambao ni Majambaz wa Taifa ili wakajuwe Hawawezi kushindana na Mungu Alie Hai.
Ndugu watanzania ninapenda kuwatia moyo nakuwa ambia msitegeme kusikia wala kusubiri kifo cha Dr Mwakiembe ila chakushangaza mtavisikia vifo vya watu hamkuwategemea ambao yawezekana wakawa ktk kundi lile la mashaka! Tanzania inaenda kupita kipindi kigumu cha mabadiliko lakini after that! Taifa jipya litazaliwa ndani ya Tanzania! Kila chemi chemi za Baraka zitashuka kwa Taifa hili na badala yakulia tutacheka. Lamsing tumuombe Mungu Rais wa Jamuhur ya Muungano wa Tanzania ili akaweze kutekeleza mabadiliko haya magumu kwake.
Anaitaji duwa na sala za kila Mtu pia watu wa usalama hasa kikosi maalumu cha Rais nilazima mumlinde Rais wa sasa kwa gharama yeyote ile watanzania tusiogope kodi yetu kutumika kumlinda rais wetu maana anapaswa kulindwa tena sana. Tahadhari msimwache Rais kula kusalimiana,kufanya jambo lolote bila usalama kuwa karibu. Mungu ibariki Tanzania Mungu wabariki viongonzi na wananchi wa Tanzania!
Amen!