Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Tatizo huu mfumo umeharibiwa. Lowasa akialikwa kuzindua studio anachomekea kwa % kubwa siasa. Utasikia mara dowans mara tulinde amani. Wakialikwa misibani the same-wanadeviate. Sasa kwa haya mazoea ndo nadhani tunafikiri bilal kachemka