Hata hivyo amechelewa sana kuunga mkono hotuba ya Jk kiasi nilianza kufikiri labda ametemwa na ccm. Na sikutegemea kitu tofauti na hicho alichokiongea.!
umemwona bana? muulize redet na takwimu zake za kisayansi REDET inarudi lini?
pia mbona matokeo ya redet yalikuwa hayaakisi ushindi wa ccm?
Cc kapalamsenga njoo huku huyu kijana ni saizi yako mweleweshe watoa povu mimi siwezani nao heshima kamanda
Takwimu sio za kisayansi!??
Huyu Benson Bana alitaka watumie Bunsen burner?
Dr Bana naye ni janga la taifa kama TBC na Mchembe.
Samahani sana, lakini nikwambie kuwa wasomi wote wanaounga mkono serikali mbili au tatu wana uhakika kuwa takwimu za Tume ya Warioba si za kitaalamu na hazitakiwi kutumiwa kuhitimisha sehemu yoyote ya mjadala. Yeyote aliyeingia darasa la takwimu au research methododology anajua hivyo. Sababu ni mbili za wazi. Moja imesemwa sana, kuwa takwimu zao wenyewe haziungi mkono majumuisho yao. Nyingine ambayo ndiyo muhimu zaidi ni kuwa maoni hayakusanywi kwa watu kujileta, kwa kuwa watajileta waliohamasika tu, na kutakuwa na uwezekano wa maoni kuwa ya makundi ya mtazamo mmoja. Kwa vyovyote vile maoni hayo yatakuwa na unacceptable margins of error. Serikali tatu zinaweza kutetewa bila takwimu za mashaka hizi.
Dr Bana akiwa anahojiwa kwenye kipindi cha Hot Mix EATV amesema twakimu za tume ya jaji warioba sio za kisayansi na zisitumike kuafanya majumhisho ni kama za kipima joto cha ITV pia ameendelea kusema kuwa hata waliokuwa wakiziandika watakuwa walikosea kwa sababu hawakuchukuwa sampuli.
Takwimu sio za kisayansi!??
Huyu Benson Bana alitaka watumie Bunsen burner?
Mkuu huyu Dr Benson Bana mara nyingi huwa anatoa mitazamo ya kuunga mkono matakwa au maslahi ya chama cha mapinduzi hata kama yako kinyume na ukweli halisi.Hahaaaa, umedata mkuu.
Mkuu huyu Dr Benson Bana mara nyingi huwa anatoa mitazamo ya kuunga mkono matakwa au maslahi ya chama cha mapinduzi hata kama yako kinyume na ukweli halisi.
Na huyu tunaweza kumwita kama ambavyo Warioba juzi kamuita Issa Shivji, INTELLECTUALLY DISHONEST.
alete za kwake ambazo ni za kisayansi sio kukosoa tu ili kufurahisha mabwana zao.hao ndio ma dr wa tz
Another IDIOT popping out of his hole!No sane mind pays attention to you Bana.You are a pathetic excuse for an analyst.
Ha ha ha ha ha ha ha! Mkuu najua wewe unamwamini dr lema na sugu kazi kweli.