DPW deal is not real

naggy

Member
Apr 27, 2011
97
152
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW

Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.

Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.


Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.

Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?

Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.

Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?

Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.

Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.

2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji

3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani

4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.

5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.

6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.

7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.

8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.

9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?

10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.

11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.

12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.

13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.

14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?

15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.

Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.

Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.

Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.

Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika

Ogessa Mangula
 
Ni kweli. Kuna kikundi kimebumba hizo kitu, na kinataka kuchukua control ya mifumo yote ya uwekezaji Tanzania.

Ukitaka kuelewa hii ni zaidi ya Richmond.

Angalia kama kuna wawakilishi wa serikali ya Dubei, zaidi ya signature tu, hakuna cheo, wala jina la muhusika. Ni mmoja tu yule wa Dubai ports basi.
 
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW

Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.

Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.


Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.

Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?

Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.

Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?

Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.

Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.
2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji
3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani
4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.
5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.
6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.
7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.
8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.
9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?
10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.
11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.
12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.
13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.
14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?
15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.

Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.

Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.

Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.

Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika

Ogessa Mangula
Ndio ukweli wenyewe , ndio Yale Yale ya Richmond ya Kariakoo
 
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW

Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.

Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.


Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.

Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?

Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.

Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?

Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.

Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.

2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji

3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani

4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.

5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.

6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.

7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.

8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.

9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?

10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.

11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.

12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.

13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.

14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?

15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.

Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.

Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.

Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.

Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika

Ogessa Mangula
Nakubaliana nawe kuwa hii DP World ya Tanzania ni ya akina Samia, Mbarawa na watu wao. Ndiyo maana Rais Samia kwenye Power of Arttoney alimruhusu Mbarawa kusaini kwa niaba ya Tanzania na kwa niaba ya DP.
 
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW

Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.

Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.


Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.

Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?

Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.

Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?

Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.

Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.

2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji

3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani

4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.

5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.

6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.

7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.

8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.

9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?

10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.

11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.

12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.

13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.

14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?

15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.

Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.

Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.

Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.

Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika

Ogessa Mangula
Hapo nipite tu.
 
Ni kweli. Kuna kikundi kimebumba hizo kitu, na kinataka kuchukua control ya mifumo yote ya uwekezaji Tanzania.

Ukitaka kuelewa hii ni zaidi ya Richmond.

Angalia kama kuna wawakilishi wa serikali ya Dubei, zaidi ya signature tu, hakuna cheo, wala jina la muhusika. Ni mmoja tu yule wa Dubai ports basi.
Ni kama saga la reli na kampuni ya Rites kama nimeandika vizuri jina.
 
DPW DEAL IS NOT REAL
Ni kundi la watanzania wanataka kujimilikisha biashara ya Bandari kwa mgongo wa DPW

Niliposikia watu wanalalamika kuhusu huu mkataba na kueleza ubaya wake, sikuwaelewa. Nililazimika kuutafuta na kusoma mwenyewe mwanzo mwisho. Baada ya kusoma mara kadhaa na kuelewa, comment yangu ya kwanza niliyoitoa ilikuwa kwamba Rais na Waziri waliwekwa kwenye poisoned room kwa ajili ya majadiliano au walipewa kahawa ilokuwa na sumu ya kufifisha uwezo wao wa akili huku wenzao wa upande wa pili wakiwa na protectives. Sikuelewa kwa nini waliweza kusaini mkataba huu ambao ni one sided.

Wabunge walinichefua zaidi na kunitafakarisha. Niliwapuuza kwa kuwa ni kawaida yao kuunga juhudi kwa manufaa yao binafsi hasa ya kutetea nafasi zao za kugombea tena.


Nilipomuona Rostam Azizi anajitokeza kuunga mkono tena kwa nguvu zote, ilinifanya nitafakari zaidi nikikumbuka kashfa zake ambazo zilimfanya apotee kabisa kwenye ulingo wa siasa. Katika tafakuri yangu, nilianza kuhisi uwepo wa upigaji mwingine kama wa kipindi kile cha makampuni hewa.

Nimekuwa nikijiuliza, hivi Serikali yetu kweli ni kipofu kiasi hiki kwa vitu vilivyo wazi?
Kwa nini DPW inapewa upendeleo kiasi hiki?
Kwa nini serikali inatumia nguvu nyingi kiasi hiki kuipamba DPW? Kizuri si hujiuza?
Kwa nini serikali inapuuza sauti ya wengi, wataalam, wananchi na kuwapoza kwa kusema itafanyia kazi maoni yao richa ya kwamba wanajuwa kuwa hakuna nafasi ya kufanya hivyo kwa mujibu wa mkataba huu?

Kimsingi, Serikali imeamua kuwapuuza wananchi bila kujali madhala yake. Kuthibitisha hili, Rais kaamua kupeleka hili jambo kwenye kamati kuu ya CCM ili kulipa nguvu zaidi na kulifanya kuwa la chama, siyo la Rais na Serikali yake tu. Hii linathibitisha kupuuza sauti ya wananchi.

Swali linakuja, kwa nini Serikali inapuuza sauti ya wananchi?

Jibu langu kwenye swali hili ni rahisi sana. Hili ni deal la watu wetu wa ndani. Ndo maana wanaomba tuwaamini; kinachotupa hofu kwamba waarabu watamiliki milele haiko hivyo. Ni watanzania wachache ndiyo watakaokuwa wanamiliki, na wamejiwekea ulinzi kupitia huu mkataba ili vizazi na vizazi vyao viendelee kufaidi. Hakika, ni wajanja sana.

Nini kinathibitisha jibu langu?
1. Mkataba kwa ujumla wake kuwa one-sided.

2. Mkataba kutokuwa na thamani halisi ya uwekezaji

3. Mkataba kutokuonesha Tanzania itanufaika kwa kiasi gani

4. Kutokuwepo kwa physibility study ambayo ingeonesha kiasi cha investment kinachohitajika kufikia desired standards na expected profit na mgawanyo wa faida.

5. DPW kuwa kutamkwa kwenye mkataba kuanzisha kampuni au makampuni mengine ambayo yatasajiliwa Tanzania, ambayo yatajulika kama project companies na affiliates zake ambazo pia zitakuwa na hadhi na haki sawa na DPW.

6. Kutambuliwa kwa Investor kama any project company and their affiliates na/au mtu yeyote mwenye hisa kwenye hizo project companies zitakazoanzishwa.

7. Kutamkwa kwenye mkataba Ibara ya 4, kifungu kidogo cha 5, kwamba DPW na washirika wake watakuwa na jukumu la kutafuta fedha kwa ajili ya miradi husika. Hii inamaanisha kwamba DPW tunaeambiwa ni giant kwenye shipping na logistics kajitoa kwenye kufadhili miradi yote. Na huenda ndo maana upembuzi yakinifu na kiasi kitakachowekezwa hakijulikani.

8. Kulazimisha kuwa na IGA na nchi isiyo na mamlaka kamili ili wawe na ulinzi, kwamba Serikali ikiamua kuvunja mkataba na pengine kutaifisha mali zao baada ya kustukia deal, wanaweza tumia huo mwamvuli wa sheria za kimataifa kukomboa mali zao.

9. Kwenye kusaini, mashahidi pande zote mbili hawakuandika majina yao. Huenda hawakutaka kuja kuwa responsible. Kwa nini tusiwajuwe kwa majina?

10. Kutokuhusika kwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa mashariki ambae ndiye as nahusika na uhusiano wa kimataifa. Mbalawa tungemuona anasaini HGA.

11. Sababu ya kwamba hata kama mahusiano ya kidiplomasia yakivunjika mkataba huu utaendelea kuwepo. Imewekwa hivyo kwa sababu hizo kampuni za miradi zitakuwa ni za wabongo, huo uhusiano wa kidiplomasia hautawahusu.

12. Kulazimisha kufanya marekebisho kwenye sheria ya ulinzi wa raslimali zinazohusisha usafirishaji wa majini na kuruhusu kupitishwa kwa raslimali nyingine asili ambazo hazijavunwa Tanzania. Hii itawapa nafuu ya kupitisha vitu vingine vya kimagendo kwa kuwa mnyororo wote za usafirishaji majini utakuwa chini yao. Unakamata magogo wanakwambia yametoka Zambia. Hatari sana.

13. Nguvu nyingi iliyotumika kulipamba hili jambo ikiwa ni pamoja na kupeleka wabunge na waandishi Dubai; Serikali kuendelea kutetea hadi kulipeleka kwenye kamati kuu na kutoa maazimio ya kuendelea na mchakato.

14. Kutokuwepo kwa commitment ya UAE kwenye mkataba ambao ni wa mahusiano ya Kimataifa, au hata Dubai kama Serikali. Badala yake kampuni ndiyo imekuwa subjected kwenye commitment. Poor we Tanzanians! Yaani unapeleka mkataba kufanya ratification bungeni kama mkataba wa Kimataifa halafu upande wa pili wametuwekea kampuni, seriously?

15. DPW kupewa Gati 0 hadi 7 ambapo tumewekeza kiasi cha tirioni moja, mkopo kutoka World chini ya mradi wa DMGP. Mradi huu umeboresha sana miundombinu. Kwa nini wasiwape kujenga Gati 12 hadi 15 au kule Bagamoyo kama ilivyo kwenye Ilani ya CCM? Ki msingi hawahitaji investment kubwa sana kwenye miradi ya phase 1 kwa kuwa development imefanyika sana. Kinachohitajika ni uendeshaji na usimamizi tu. Mambo ya mifumo kudomana hakuhitaji investment kubwa. After all siku hizi Meli hazizidi siku tatu.

Kimsingi sababu ni nyingi sana kuthibitisha hili.

Jaribu kusoma Article One upate maana ya DPW, Project company, project agreement, investor, entity, person na project activity; ambayo yote yametumika kwenye mkataba. Hawakuwa wajinga kutolea maana.

Tusitegemee kuona kile tunachoelezwa kikitokea kama tutafumba macho na kukubali kushindwa.

Tukatae huu uhuni kwa nguvu zote.

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Tanganyika

Ogessa Mangula
Mpaka sasa imebaki tu THE HARD WAY!
Unfortunately, protest and riot is not among the same!
Let the strong survive!
 
Tuko pamoja
Nshala na wezako ,Lisu ,Dr slaa ,mwabukusi ,madereka pita and sauti ya watanzania and those who are against this worthless DP-world and her GENGE contract
 
Back
Top Bottom