Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,717
- 36,191
Atulie nisije nikamtukana bure.
Maskini wangapi kafuta kesi zao?
Maskini wangapi kafuta kesi zao?
Duh! Mbona hatari.Hio imeenda dogo Bora angevuta ile milioni 10 akafanye mishe zingine naona alipotoshwa na mawakili uchwara kina madereka.
Haki bongo pesa huna umaarufu huna sio kada
Sijawahi kuona mzee mjinga kama huyu
Kabisa hii nchi mifumo yake imeoza haswaMnapoambiwa jela ni kwa ajili ya masikini muwe mnaelewa
Kibatala hakujipeleka alitafutwa na kasi yake ni kutetea watu hana shamba mjiniUzuri WA bongo sheria uamuliwa na jinsi ulivyo ukiwa na pesa au maarufu au kada huwezi tendewa SAWA na asiye.
Naona wanapanga kumuachia mke wa msuya muuaji mkubwa wazee wa Baraza washavuta sema wanaogopa jamii eti kesi kaangushiwa housegirl,kibatala kashavuta zake kumtetea mama wa kimachame
WajingaHata sielewi huyu mtu ana maana gani. Yaani hizi ndo teuzi ,inazofanywa kizembe hadi nchi inaangukia mikononi mwa wsomi uchwara.
Miaka 60 ijayoSiku mtakuja kuwa na haki sio leo
Unatoa bikra kwa milioni 10? Acha upuuzi wewe, ndio maana tunakwama sana kwa akili kama hizi.Hio imeenda dogo Bora angevuta ile milioni 10 akafanye mishe zingine naona alipotoshwq na mawakili uchwara kina madereka.
Haki bongo pesa huna umaarufu huna sio kada
Kapata haki gani sasa hata mia mbovu kakosaUnatoa bikra kwa milioni 10? Acha upuuzi wewe, ndio maana tunakwama sana kwa akili kama hizi.
Njoo huku kuna mwamba ana milioni 10 akupe umalizane nae.
Hii kesi imemvua nguo anatetea hadi wauajiKibatala hakujipeleka alitafutwa na kasi yake ni kutetea watu hana shamba mjini
Amemdhulum vibaya mno huyu kijana, Hatakua Sawa hadi anaondoka duniani.Ila tu waliohusika kumfanyia hivyo malipo ni hapa hapa.Acha chupa bwashee, hebu jaribu kujiingizia dole gumba tu uone mziki wake!! Hakuna kidume chupa inaweza kupenya hata nusu sentimita! Labda kwa nyie vijana wa CDM
Ulishuhudia? kama wazazi wa huyo dada wanasema hakuua wewe ulikuwepo?Hii kesi imemvua nguo anatetea hadi wauaji
Wapo wazee wa mila watamtafuna vizuriAmemdhulum vibaya mno huyu kijana, Hatakua Sawa hadi anaondoka duniani.Ila tu waliohusika kumfanyia hivyo malipo ni hapa hapa.
Mpunga ushafanya KAZI yake,sheria ni kwa ajili ya watu masikiniUlishuhudia? kama wazazi wa huyo dada wanasema hakuua wewe ulikuwepo?
Masikini na tajiri sio sawa mbele ya sheria
Tafuta na wewe pesa acha kulalamikaMpunga ushafanya KAZI yake,sheria ni kwa ajili ya watu masikini