KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
jana tume ya uchaguzi imetupilia mbali ombi la wakristu la kubadili siku ya kupiga kura (31 oct) kwani ni siku ya ibada.
Ivi kweli ingekua ni siku ya Ijumaa na waislam wangeomba ibadilishwe, ombi lingetupwa kweli?
Ivi kweli ingekua ni siku ya Ijumaa na waislam wangeomba ibadilishwe, ombi lingetupwa kweli?