WanawakePamoja na umahiri wao redioni
Kuna sehemu flani Katika maisha wanaitendea haki ipasavyo
Je ni sehemu Gani iyooView attachment 2944319
ni kweli.Sidhan kama zinamshinda ni kwamba anaongeza wake
KP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro.UCHAWA VS UKOSOAJI
Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisaKP yupo kwenye ukosoaji tena bila ya kuwa na jazba! Smart sana huyu bro.
huenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo.Nakubali, mzee wa minyama ya DPW simuelewi siku hizi kabisa
UKO SAHIHI MKUUhuenda ana mahaba makubwa ya "nyundo na jembe" au ana mgawo wa siri anaopewa, au ana uhusiano na watu wa kitengo.