Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Jamani ee.. Habari zenu wana Jf.
Sasa bila kujikanyaga, Mimi naomba nipewe utaratibu wa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz. Yaani Mhe. JAKAYA .M. KIKWETE.
Nina shida naye sana japo mie ni mwananchi wa kawaida sana. So naomba plz,anayejua contacts zake anitupie hapa hapa au ani-inbox kwa 0787638644.
Nipo serious jamani.
Sasa bila kujikanyaga, Mimi naomba nipewe utaratibu wa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz. Yaani Mhe. JAKAYA .M. KIKWETE.
Nina shida naye sana japo mie ni mwananchi wa kawaida sana. So naomba plz,anayejua contacts zake anitupie hapa hapa au ani-inbox kwa 0787638644.
Nipo serious jamani.