Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,154
- 16,237
Last edited by a moderator:
mmh!...........sasa ndo katuni huanza kuchorwa kwa michoro ya kimatusi namna hiyo?
mmh!...........sasa ndo katuni huanza kuchorwa kwa michoro ya kimatusi namna hiyo?
Siku zote iko hivyo! Ila umekuwa mtoro sana Kamanda wangu!
Siku zote iko hivyo! Ila umekuwa mtoro sana Kamanda wangu!
Ndio style yake mimi nadhani wewe ndio unaanza kufikiri tofauti
bado sijakata tamaa mkuu. hivi hiyo soseji ikichorwa na mayai yake mawili kweye sura huioni? lakin nashukuru leo nimepata jibu la swali langu la siku zote kwanini wanaume hupenda kutusiana yale maneno yanayo watokako hasa kwamama. kumbe zikichorwa katuni za kiume huanza kwa stail ya '' ya mama'' au 'ya baba'.
umenifundisha aisee hongera sana.
Ubunifu umesimama kinoma!!