Sasa Don si kitambulisho ni mali yako, kwa nini umeamua kukiludisha?
cc. Maxence MeloHabari wadau,
Kiukweli huyu mtu hayuko sawa , watu walio karibu nae au kama kuna mtu anawafahamu ndugu zake awaambie kwamba Deo Kisandu anahitaji kupatiwa matibababu ya afya ya akili.
Tukimuacha huyu mtu anarudi tena jela maana kadri siku zinavyozidi kwenda naona taa inaanza kuwaka...Apelekwe kitengo cha afya ya akili apatiwe matibabu na matatizo yake yatapona.
umezaliwa 90s duhNimekabidhi Masjala Jiji la Mwanza, na pia nimewarudishia PSSSF Kitambulisho Cha LAPF na Pesa zote wakitaka wale au wazigawane, Mimi haya nihusu.@DON NALIMISON.View attachment 1526849
Huyu jamaa shida yake jina la Don Nalimison lisomeke kwenye kitambulisho chake cha taifa.Aisee
Don kwani shida nini atii?
Mbona hutuambii kilichojiri? Hata hivyo, hongera kwa uamuzi wako na tunakutakia mafanikio kule uendako. Nikujuze tu mikasa ya watu kadhaa walioukana uraia wao.Nimekabidhi Masjala Jiji la Mwanza, na pia nimewarudishia PSSSF Kitambulisho Cha LAPF na Pesa zote wakitaka wale au wazigawane, Mimi haya nihusu.@DON NALIMISON.View attachment 1526849