Mihogo inageukaje kuwa mafuta?Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya wanaume kula wakati wanachezea simu zao hupelekea tatizo la nguvu za kiume.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2895905
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Kumbe mnaumiaga eeh?Nashauri huyu Daktari apokonywe Leseni yake.
Hili tatizo la nguvu za kiume naona imekuwa kama fimbo ya kutuchapa Wanaume.
Ukienda Kwa Mganga anakwambia una tatizo la nguvu za kiume.
Hospitali utaambiwa una tatizo la nguvu za kiume.
Mkeo naye nyumbani ukimuudhi anakwambia Mwanaume gani huna nguvu za kuniridhisha
Kwa kweli Wanaume tuanzishe Chama cha kututetea sasa 🙌
Tena hakuna maumivu makali kama ya kuambiwa na Mpenzio/Mkeo eti hauna nguvu za kumridhisha.Kumbe mnaumiaga eeh?
😃😃😃
Dokta Greyson Babishomba akiwa anafanya mahojiano na Kituo cha Redio Times Fm, amesema kuwa tabia ya wanaume kula wakati wanachezea simu zao hupelekea tatizo la nguvu za kiume.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2895905
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1