Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Hapa mtaani kwetu Jana tumeachwa hoi kwa kituko dogo mmoja wa std 3 alichofanya. Kuna mama mmoja afahamikae kwa Jina La Mama Pamella, huyu mama amekuwa akimtania dogo anampenda na kumwita dogo mme wake, Hatua ya kwanza aliyoichukua dogo ni kumwandikia Barua ya mapenzi rasmi kumtongoza, kwa maneno makali na kuchora Kopa kabisa, hiyo ilikua valentine day. Hv karibuni mama pamela amekuwa akimtania kuwa amepata bwana mwingiene,so jana Dogo akaja na maamuzi, KAANDIKA TARAKA RASMI, Kamkabithi mama pamela, mwanamke wawatu kashangaa kwa matendo ya mtoto, katuita, katoa na Barua ile ya Valentine Duh! Huyu dogo sijui vipi, mdogo bt kakomaa akili, Au ndio dalili kuwa ana kipaji? Kazi kweli!