JF kama kuna mtu ana wimbo huu wa dogo Mfaume naomba jamani. Kijana ameimba katika mahadhi yalibadilishwa na kuwa ya kisasa....
Nipe dakika 5 itakuwa kwenye playlist ya BongoFlavaJF kama kuna mtu ana wimbo huu wa dogo Mfaume naomba jamani. Kijana ameimba katika mahadhi yalibadilishwa na kuwa ya kisasa....
Ukifungua link ya Bongo Flava ipo tayari.JF kama kuna mtu ana wimbo huu wa dogo Mfaume naomba jamani. Kijana ameimba katika mahadhi yalibadilishwa na kuwa ya kisasa....
For You I will Mama.Bila kusahau wimbo wa MTOTO IDD wa Juma Nature tafadhali, kama utakuwa nao.
Nawezaje kuzidaunilodi nyimbo?