kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
niliwambia ntawaletea hali ilivyo dodoma bunge likianza kuhusu wenzake comeroon,dah kweli wameanza kutua sasa hv nmeona mmoja ametoka gest anaingia kazi
That's mental picturenone of our business...kwani kameruni atakuja huko
Hivi sikukuu ndio zishaisha au maana sielewi elewi kama kazini kama kawa au tuendelee kuchinja nyama tule?
Sikuu ya hii Eid huwa no siku moja tu wakuu kwa hiyo leo kazini kama kawaMkuu! Hapo kuhusu sikukuu ndiyo bado naungana nawe kwn cjui kama imeisha! Na hakika tumekosa wa ku2juza kabisa humu jamvini! Kazi kweli kweli!!!
Sikuu ya hii Eid huwa no siku moja tu wakuu kwa hiyo leo kazini kama kawa