iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Hao wazanzibar wasiende huko kwenye kamati watang'olewa kucha bure!
Au wanaweza kuwa~kolimba,ccm walitaka kuzuia feeling za tanganyika nationalism,naona hali ilipofikia kila mtu wa bara anajua kwamba yeye ni mtanganyika na anauhitaji utanganyika