Wasipoteze muda kumtafuta TUNDU ANDIPAS LUSU LAITI WANGEJUA NYUMA YAKE WAPO MAMILION YA WATU WANAMPENDA WASINGEHANGAIKA.Way maker
Miracle worker
Promise keeper
Light in the darkness
That's who you are.
Mighty God....
Imeandikwa watapigana lakini hawatashida yer 1:19
Get well soon Hon Lissu.
kitengo cha propagandaCCM mmeonuesha utu sana, siasa sio uadui. Vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao
Mbona kama umepaniki mkuu? Nimesema WazalendoSifanyi huu upuuzi!
Walifariki watoto hamkuja na mawazo kama haya!!
Haha august 2017 mkuu ilikuwa kwenye computer long time agoCCM mmeonuesha utu sana, siasa sio uadui. Vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao
Lete pichaNi kweli mama naona wabunge kwa wingi hapa general Hosp.in taharuki kwa kwel
Mkuu chunga kauli zako. Ukiombwa ushahidi juu ya hili uliloliandika unaweza kuutoa. Tuvipe nafasi vyombo vya ulinzi kufanya kazi zao.Wanafiki wakubwa..hilo tukio limesukwa hapo Lumumba
Kwani walirushiwa risasi?Wale wa Cuf vipi??
Jana tu bavicha walikuwa wanashangilia vifo vya viongozi wa CUF.sawa utaishi milele ......
Hakuna mtanzania mwenye roho ya hivi