Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Aliimba Roma Mkatoliki.....sasa yanaendelea kutokea!!Weka bunduki chini tubishane kwa hoja.
-Domhome-
Aliimba Roma Mkatoliki.....sasa yanaendelea kutokea!!Weka bunduki chini tubishane kwa hoja.
Ngoja msemaji wa Jeshi athibitishe ndio chanzo sahihi
AMEEEN..haya mambo ya kutishia mtu kwa riasi ni mambo ya kizamani,maana atatibiwa atapona,
Taratibu nchi inapelekwa kule tusikopenda ipelekwe. Watanzania wamesifiwa amani na wamekuwa wavumilivu muda mrefu. Njia za mkato zinatumika kunyamazisha hoja za wana wa Tanzania. Je nini matokeo ya mwisho? Yeyote auae naye mwisho wake ni upi? Ikiwa watu wanasimama na kujinadi kuomba ruhusa za kuua na wanasifiwa kama si kuachwa matokeo ni yapi? Ikiwa matukio ya kinyama yanafanyika na yanashangiliwa nini matokeo ya Mwisho?Mtujuze kama ni polisi au watu wasiojulikana wamefanya mambo
Hujaacha tu ujinga!I hope ni kick ambayo na weza Sema imekuwa kicked off. Uhuni wa CDM ili tu kuichafua nchi
Mkuu katika hili tungeungana kumtakia heri LissuGet well soon Tundu Lissu ....lakini kwenye hili swala sina imani kabisa na Chadema
Acha ujinga wa kumtetea uchwara wako
Leo kwake kesho kwake.
Hata Hitler akukosa watetezi wake na mmoja wapo ni kama wewe
Mkuu mimi pia ni binadamu nimelia baada ya kisikia taarifa hii mbaya siasa zisipandikize chuki. I have a bad day