MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
kwa sababu mambo yanayofanywa na wabunge siku hizi ni ya aibu sana kwa hadhi waliyonayo.
Hasa wabunge aina ya MINI KABANG!
kwa sababu mambo yanayofanywa na wabunge siku hizi ni ya aibu sana kwa hadhi waliyonayo.
Teh teh, kwa hiyo badala ya kutetea watanzania kwa hoja wameamua kulia? Kweli vituko na majanga kwa wabunge wetu!
Hasa wabunge aina ya MINI KABANG!