Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dom barabara zote main roads ni lami tupu,barabara zote city center ni lami tupu,barabara zote za kuifikia mitaa kwa daladala ni lami tupu hadi ndani ndani huko Nkuhungu n.k.
Hizo za vumbi unazoongelea ni street roads.
Unaruka ulichokisema mkuu!?
Si ulisema Dodoma city kuna mtandao wa barabara hadi mitaani/street roads!?
Tuachane na hilo.
Mbona hata Tabora sasa hivi kuna mtandao mkubwa wa barabara na mainroad zote zimeunganishwa na mtandao wa barabara mkuu!?
Unachokieleza hapo kuhusu barabara mikoa mengine kinafanyika.
Dodoma hii inakua hatukatai TENA INAKUA SANA ila tuipe muda kaka musianze ipaisha sasa hivi.
Ipeni walau miaka 5 mbele kwanza.
Munawahi sana kuipamba.
 
Unachekesha sana...Dodoma CC inashika nafasi ya pili both makusanyo ya Halmashauri na TRA

Dodoma kwako ni cc pekee sio mkoa na wilaya zake?
 
Dodoma kwako ni cc pekee sio mkoa na wilaya zake?
Huko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupawezi๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
 
Huko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupawezi๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
Kanyaga twende Dom Hadi waombe poo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1785694130707812700?t=NOduEYoejyz9E7x6J5Ln-g&s=19

ILAN RAMON Aione kwenye jalada
 
Huko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupawezi๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
Usisahau populations ya Dodoma almost ni mara 2 ya population ya Arusha (kimkoa?) Labda kwa umaskini dodoma itaizidi Arusha nothing else sijisifii naongea ukweli mkuu dodoma bado sana kuleni tu ubuyu ๐Ÿ˜„ ๐Ÿคฃ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜† ๐Ÿ˜„
 
Huko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupawezi๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
U
๐Ÿ”จ๐Ÿ”จ๐Ÿ”จ๐Ÿ”จ Kanyaga twende Dom ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1787863231609876859?t=zaoi4f1Ab9kzJVif-ZNC8w&s=19

Umetoa wapi izi takataka mkuu naomna source hahahahah
 
Tupo kwenye Uzi wa dodoma vs Arusha... I will stand for Arusha
Dodoma inawashikisha ukuta wote Arusha & Mwanza hata mngesaidianaje ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Screenshot_20240517-071716.jpg
Screenshot_20240517-071802.jpg
Screenshot_20240517-071604.jpg
Screenshot_20240517-071510.jpg
Screenshot_20240517-071459.jpg
Screenshot_20240517-071441.jpg
Screenshot_20240517-071413.jpg
Screenshot_20240517-071401.jpg
Screenshot_20240517-072614.jpg
Screenshot_20240517-072539.jpg
Screenshot_20240517-072449.jpg
 
Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kua
 
Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kua
Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kua
Wewe si ndio ulikuwa unasema mara Dom Haina vivutio mara sijui nini yaani blaa blaa kibao.

Takwimu za uwekezaji Kwa robo ya 3 Dom imezidi kina Mwanza and the likes ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
20240517_130614.jpg
 
Wewe si ndio ulikuwa unasema mara Dom Haina vivutio mara sijui nini yaani blaa blaa kibao.

Takwimu za uwekezaji Kwa robo ya 3 Dom imezidi kina Mwanza and the likes ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡View attachment 2992497

Kwanza iikute mara ngapi? Kwani Mwanza imezidi nini Dodoma? Kipi hasa zaidi ya slums na maskini walikojaa humo? Kuna Kingine tangible?๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1787863231609876859?t=4XQ7_8aLOaac4mMGig11Ww&s=19

My Take:Hakuna Mkoa wa kuzidi Jiji la Dodoma by 2030 ukitoa Dar

Screenshot_20240515-230101.jpg
Screenshot_20240515-230031.jpg

Takwimu zenye kuaminika ni hizi
 
Back
Top Bottom