Dodoma Bei ya viwanja-Ilazo

newmzalendo

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
1,378
550
Ninafanya utafiti wa bei ya Ardhi dodoma kwa ujumla wake viwanja ukubwa kati ya square meter 600-1500
Mahitaji eneo la Ilazo na maeneo ya Jirani
kiwanja kilichopimwa na pia skwata iliyo rasimishwa
Ninauhitaji wa kiwanja.Pamoja na eneo la kilimo cha mboga mboga
 
Nilishafanikiwa kupata kiwanja ilazo Extension kwa bei ya kizalendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom