King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Vivian,ugonjwa unaanzia kwenye kuwaza kuongeza makalio,whether naturally ama artificially! What is wrong with hayo uliyonayo, hayatoshei kukaa? Manake kazi ya makalio ni kukalia tu! Wote wehu, mwingine analipia gym laki kwa mwezi ayapunguze ya kwake, mwingine anaenda kutafuta nyongeza! Kha!
hivi hakuna vitu natural m2 anaweza fanya akaongeza ukubwa wa makalio?