Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Chapakazi,
Hujanielewa my point nikienda kumuuliza muuza duka kwanini pale Mlimani City anauza kiatu laki mbili na nusu wakati huko anapokinunua hadi hapa ni $60 the rest inaenda wapi anaweza kunieleza? Supply and Demand are forces of determining prices ila there has to be some form of regulatory mechanism kuhakikisha this does not go out of control. Mkisema free market iache tu kujitambua yenyewe unaweza kukuta suppliers (wauzaji kama hawa) wakaform a cartel wakapunguza usambazaji kwa nia ya kupandisha bei juu. Na hili ndio linalotokea kwasababu wauzaji wengine huwa wanafahamiana. Wateja wako scattered na hawawezi kuwa na umoja kutokana na kutofautiana in their purchasing power. Consumer protection agency ndio umoja wao inaweza kuangalia whether there is value for their money katika bei zinazopangwa. Kwasasa bei nyingi za tanzania ziko kwa kiwango cha kutisha na sio kila mtu anajua mahali kulipo na alternative option.
hapo pekundu ndo maana nasema unavuka mipaka. Ukiongelea kuhusu forming cartel, papo hapo competition law inaingia. There is an imaginary line ambayo lazima mtu avuke.
By the way...example yako ya mlimani city sio nzuri maana huyo anaweza kukwambia kuwa ana costs kibao. Kama jengo, wafanyakazi na administration costs zinazopandisha bei ya hicho kiatu juu. Jaribu kuanzisha biashara uone...