Wajua wazungu wakiwa na wasiwasi hata wajinsia yako, hawaangalii maumbile!!!! wanakwenda maabara kwasababu wanaamini kuna wanawake wenye maumbile ya kiume na kuna wanaume wa kihivo.... hebu kumbuka ile skendo ya SEMENYA, mwanariadha wa kike wa Africa ya kusini aliye ibua utata juu ya jinsia yake. ingekuwa bongo wangeubaliana naye kwa kuchungulia nyeti zake tu, lakini wazungu walienda mpaka maabara kuthibitisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.