DNA test should be conducted immediately after child birth

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
1,328
3,692
If possible it should be conducted during pregnancy so the man can hands off the woman before child birth

Let the real father take over.

Women needs to start facing the consequences for their cheating.

IMG_20240325_001350.jpg
IMG_20240325_001415.jpg
 
Unataka ma slay queen wafe njaa.

Kuna ma single mama wanaendesha magari makali na kukaa nyumba nzuri kwa kutumia mtoto kama kitega uchumi.
Unakuta mtoto mmoja ana vyeti mpaka 3 vya kuzaliwa kumaanisha kuna njemba 3 zinahudumia kwa kuaminishwa ndio baba wa mtoto.

Wakianza mambo ya kupimwa DNA unaweza kuta hata hao 3 wote sio baba wa mtoto.

U single mama ni mradi kibongo bongo, mambo ya DNA kabla yakija wengi wataumbuka.
 
Back
Top Bottom