Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,189
- 11,618
Kuchaguliwa kwa Dkt. Tulia Ackson kua Rais wa IPU kumebadili kabisa equation ya nani ndani ya chama Tawala kumrithi Dkt. Samia atakapohitimisha Ngwee zake za Utawala kikatiba nchini.
Ushindi wa Dkt. Tulia Ackson IPU umepandisha joto la kisiasa ndani ya chama Tawala na kuwalazimu wanaokusudia au kuonyesha nia ya kumrithi Rais alieoko Madarakani, warudi tena kwenye drawing table kujipanga upya kivingine. Ushindi wa kishindo wa speaker wa Tanzania, IPU ni dhihirisho la uwezo na kukubalika kwake kitaifa na kimataifa.
Endorsement ya Rais Samia kwa Dkt. Tulia Ackson kugombea Urais IPU, iliaambatana na surport kabambe mno ya hali na mali, na hiyo ndiyo ikawa ni dhihirisho la Rais Samia Suluhu Hassan kumuamini sana Dkt. Tulia, na kwakweli akavutiwa mno na uwezo wake mkubwa wa kuongoza na siasa zake tulivu, kitaifa na kimataifa.
Kwa ufupi Dkt. Tulia Ackson ndiye mwenye kupewa nafasi kubwa zaidi kumrithi Rais Dr Samia, atakapomaliza muda wake.
Elimu, Uzoefu wa kazi za kitaifa na kimataifa, Jinsia, Uadulifu, bidii, utumishi uliotukuka, weledi na umahiri wake katika kupanga na kusimamia hoja na masuala mbalimbali kitafa na kimataifa ni sifa za kipekee zitakazombeba Dr Tulia, ndani ya Chama Tawala lakini pia dhidi ya Upinzani nchini.
Jambo la Mwisho,
Rais, wa sasa kama atashindwa kuacha legecy kwenye maeneo mengine, basi bilashaka atapendelea kuacha legecy muhimu katika historia ya Tanzania. Nayo ni kuiacha nchi katika mikono salama ya Mwanamke jasiri, naye ni Speaker wa sasa wa Bunge la Tanzania Dr Tulia.
IPU-Inter Parliamentary Union.
Haya ni maoni na mtazamo wangu....
Ushindi wa Dkt. Tulia Ackson IPU umepandisha joto la kisiasa ndani ya chama Tawala na kuwalazimu wanaokusudia au kuonyesha nia ya kumrithi Rais alieoko Madarakani, warudi tena kwenye drawing table kujipanga upya kivingine. Ushindi wa kishindo wa speaker wa Tanzania, IPU ni dhihirisho la uwezo na kukubalika kwake kitaifa na kimataifa.
Endorsement ya Rais Samia kwa Dkt. Tulia Ackson kugombea Urais IPU, iliaambatana na surport kabambe mno ya hali na mali, na hiyo ndiyo ikawa ni dhihirisho la Rais Samia Suluhu Hassan kumuamini sana Dkt. Tulia, na kwakweli akavutiwa mno na uwezo wake mkubwa wa kuongoza na siasa zake tulivu, kitaifa na kimataifa.
Kwa ufupi Dkt. Tulia Ackson ndiye mwenye kupewa nafasi kubwa zaidi kumrithi Rais Dr Samia, atakapomaliza muda wake.
Elimu, Uzoefu wa kazi za kitaifa na kimataifa, Jinsia, Uadulifu, bidii, utumishi uliotukuka, weledi na umahiri wake katika kupanga na kusimamia hoja na masuala mbalimbali kitafa na kimataifa ni sifa za kipekee zitakazombeba Dr Tulia, ndani ya Chama Tawala lakini pia dhidi ya Upinzani nchini.
Jambo la Mwisho,
Rais, wa sasa kama atashindwa kuacha legecy kwenye maeneo mengine, basi bilashaka atapendelea kuacha legecy muhimu katika historia ya Tanzania. Nayo ni kuiacha nchi katika mikono salama ya Mwanamke jasiri, naye ni Speaker wa sasa wa Bunge la Tanzania Dr Tulia.
IPU-Inter Parliamentary Union.
Haya ni maoni na mtazamo wangu....