Dkt. Slaa: Kipaumbele cha Hayati Rais Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania

Watanzania walifilisiwa pesa zao kwenye ma benki wana jambo lao.
Mbona sisi Hatujafilisiwa? Utafilisiwatu ikiwa Pesa ulizonazo Hazina Maelezo ya kutosha vyazo vyake vinalingana na Thamani ya Pesa ulizonazo?

Mafisaditu na wavivu ndio watamchukia Bwana Magufuli. Lakini waadilifu watamuunga Mkono.
 
Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Wilbroad Slaa amesema kipaumbele cha Hayati Rais John Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania, na njia alizoweka hadharani kutimiza hilo ni kuwekeza kwenye Viwanda pamoja na Uwekezaji.

Ameeleza, "Wakati naapishwa kauli yake ilikuwa nendeni mkafanye diplomasia ya Uchumi. Maana yake ni kutafuta wawekezaji, watu wenye viwanda vikubwa na watakaoingia kwenye ushirikiano na Watanzania katika kuuziana bidhaa mbalimbali"

Aidha, Dkt. Slaa amesema kuleta wawekezaji pekee haitoshi kama hakuna watu wa upande wa Tanzania kushirikiana akiongeza Biashara lazima iwe pande mbili.

Amesema hayo CCM Kirumba Mwanza akihudhuria shughuli ya kuagwa kwa Dkt. Magufuli.

Kwenye kampeni za 2010 dr slaa alisema akifanikiwa kupewa nchi atajenga treni ya umeme toka dar mpk kigoma.

Viongozi wa ccm wote na wanachama wao wakambeza, miaka mitano mbele Magu kajenga treni ya umeme viongozi wa chadema wote na wanachama wao wanambeza na kumkashifu.

Kuna muda nashindwa kuielewa hii nchi yangu.
Ili vita dhidi ya ufisadi iendelee rais Samia Suluhu Hassan amteu Dr Slaa kuwa makamu wa rais. Hapo atamsaidia Sana na kazi yake kusimamia miradi itakuwa nyepesi.
 
Kusema mabaya ya marehemu si ustaarabu ila kwa kweli marehemu alikuwa ni mvunjaji mkubwa wa katiba ya nchi numberi moja...ubaguzi wa kikanda wa nafasi za uteuzi na miradi ya maendeleo mingi kupelekwa kanda ya ziwa!! Alikuwa hataki kukosolewa ukifanya hivyo uwe tayari kwa lolote, alipenda kusujudiwa kama Mungu wa duniani...

Pumzika kwa amani kama kweli pumzika hilo ushapewa na muumba mbingu huko uliko.... sisi tunaendelea!!
 
Kwenye kampeni za 2010 dr slaa alisema akifanikiwa kupewa nchi atajenga treni ya umeme toka dar mpk kigoma.

Viongozi wa ccm wote na wanachama wao wakambeza, miaka mitano mbele Magu kajenga treni ya umeme viongozi wa chadema wote na wanachama wao wanambeza na kumkashifu.

Kuna muda nashindwa kuielewa hii nchi yangu.

Ukijikita kwenye propaganda wakati mwingine unageuka unakuwa mjinga. Mtaje kiongozi yoyote wa cdm kwa jina anayepinga ujenzi wa reli. Watu wanapinga ununuzi wa ndege tena kwa mtindo wa cash, na sio treni. Mnachomekea miradi ambayo cdm hawapingi ili kufunika miradi ya kihuni ili ione watu wanapinga kila kitu. Ni hivi, ununuzi wa ndege na uwanja wa ndege aa Chato, ni uhuni kama uhuni mwingine fullstop.
 
Kuna ID'S zile zile zinazunguka kuponda tu kwenye kila thd anayosifiwa the late JPM,tena zinakua za kwanza ku comment!

Poleni sana kwa mateso mnayo yapitia muda huu nyie mnao ponda na kupinga kila kitu,

:D:D:D:D

Pole na msiba Kaka kipenzi💥💣

Sijui kama watakuelewa leo, labda uwape hadi December
 
Natamani kuona u-turn ya huyu mzee baada ya kifo cha magu.
Aliingia ccm/serikalini kwa kuvutiwa na sera za kizalendo za JPM,leo hii hayupo sasa sijui atabaki ccm kwa kuvutiwa na nani tena?
Muda utasema tu
 
Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Wilbroad Slaa amesema kipaumbele cha Hayati Rais John Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania, na njia alizoweka hadharani kutimiza hilo ni kuwekeza kwenye Viwanda pamoja na Uwekezaji.

Ameeleza, "Wakati naapishwa kauli yake ilikuwa nendeni mkafanye diplomasia ya Uchumi. Maana yake ni kutafuta wawekezaji, watu wenye viwanda vikubwa na watakaoingia kwenye ushirikiano na Watanzania katika kuuziana bidhaa mbalimbali"

Aidha, Dkt. Slaa amesema kuleta wawekezaji pekee haitoshi kama hakuna watu wa upande wa Tanzania kushirikiana akiongeza Biashara lazima iwe pande mbili.

Amesema hayo CCM Kirumba Mwanza akihudhuria shughuli ya kuagwa kwa Dkt. Magufuli.
View attachment 1733385
Na ndiyo sababu Watanzania wanaendelea kuonesha upendo na imani waliyokiwanayo kwa JPM
 
Ukijikita kwenye propaganda wakati mwingine unageuka unakuwa mjinga. Mtaje kiongozi yoyote wa cdm kwa jina anayepinga ujenzi wa reli. Watu wanapinga ununuzi wa ndege tena kwa mtindo wa cash, na sio treni. Mnachomekea miradi ambayo cdm hawapingi ili kufunika miradi ya kihuni ili ione watu wanapinga kila kitu. Ni hivi, ununuzi wa ndege na uwanja wa ndege aa Chato, ni uhuni kama uhuni mwingine fullstop.
Wewe jamaa huwa pumbavu ambalo hauna akili. Kununua ndege cash na kukopa kipi bora? We ungesema labda kununua ndege haikuwa kipaumbele muhimu kwa sasa.
 
Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, Dkt. Wilbroad Slaa amesema kipaumbele cha Hayati Rais John Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania, na njia alizoweka hadharani kutimiza hilo ni kuwekeza kwenye Viwanda pamoja na Uwekezaji.

Ameeleza, "Wakati naapishwa kauli yake ilikuwa nendeni mkafanye diplomasia ya Uchumi. Maana yake ni kutafuta wawekezaji, watu wenye viwanda vikubwa na watakaoingia kwenye ushirikiano na Watanzania katika kuuziana bidhaa mbalimbali"

Aidha, Dkt. Slaa amesema kuleta wawekezaji pekee haitoshi kama hakuna watu wa upande wa Tanzania kushirikiana akiongeza Biashara lazima iwe pande mbili.

Amesema hayo CCM Kirumba Mwanza akihudhuria shughuli ya kuagwa kwa Dkt. Magufuli.
View attachment 1733385
Hawa ndio wwnaomlilia Marehemu sababu walitolewa upinzani wakaja kupewa vyeo wenye chama wakaachwa. It's very bad, hawa sasa watajua nini maana ya uzalendo. Huwezi kutolewa huko ulikokuwa unapinga kila kitu halafu unaambiwa kesho amekuwa balozi na wapo waliopigana usiku na mchana kwa ajili ya chama wakaachwa tu. Asubiri sindano inakuja wakae mkao
 
Wewe jamaa huwa pumbavu ambalo hauna akili. Kununua ndege cash na kukopa kipi bora? We ungesema labda kununua ndege haikuwa kipaumbele muhimu kwa sasa.

Hilo la kwamba kununua ndege haikuwa kipaombele sahihi kwa sasa, ni kelele zetu toka mwanzo. Kibaya zaidi ununuzi wa hizi ndege ukawa wa cash. Mzee wa kundi la watu wasiojulikana mbona hujapanick, utapanick sana.
 
Back
Top Bottom