Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,232
Siyo mbaya,ikiwapendeza wamuongeze na babu tale timu ikamilike!
Swala la kodi linahitaji elimu na uelewa mkubwa tatizo hii nchi inaendeshwa kibongo movie watu hamjui hata kodi zinaatakiwa zikusanyweje halafu unaokota watu ni heri vyuo vinavyotoa elimu ya kodi vifutweNyie mnaopinga hapo juu mnajielewa? Wewe uliyesoma upo mbwinde huko na mbwana samatta au edo kumwembe nani ana fan base kubwa na anaweza kusikilizwa akihamasisha kodi?
Wewe ndo hauko serious hujui hata Mambo ya online influencer au wamwonea wivu mabeto kisa hyo nafasi, tax hata Mimi naweza toa maelezo kwa umma kuhusu ulipaji Kodi na Wala haihitaji kuwa mtu wa PhD in tax management, unataka ku reach a certain group lazima utafte mtu wanaoelewana lugha. Na hivi tax compliance Ina kipi kipya mtu akielekezwa na kutoa ujumbe kwa umma?Kaka hapa tunazungumzia serikali wewe unaleta mambo ya cocakola!!! Em kuwa serious isee. Hivi wajua kuwa mambo ya Taxation particularly tax compliance ni mambo complex hayahitajii midemko???
Napendekeza Rais atumie muda wa kutosha kujifunza misingi iliyotumika kuanzisha TRA kama chombo nje ya mfumo wa kawaida wa uendeshaji na usimamizi wa utumishi wa umma. Baada ya hapo atagundua kuwa serikali kuingilia usimamizi na uendeshaji wa TRA ndiyo chanzo cha malalamiko yake juu ya utendaji wa chombo hicho. Tangu mwanzo KAZI ya Rais ilikuwa kuteua mtendaji mkuu(Commissioner General) na alikuwa HAAPISHWI NA RAIS. Aliwajibika kwa Bodi ya Wakurugenzi na kwa mbaaaali, kwa Waziri wa Fedha. Miaka ya mwanzo Waziri asingeweza hata kuingilia uteuzi wa watumishi. Hata kabla ya Waziri kupendekeza kwa Rais mtu wa kuteua kuwa Kamishna Mkuu alishauriana na na Bodi ya Wakurugenzi.Yeye mwenyewe waziri anatakiwa kwenda kukutana na mtaalamu wa kodi TRA apewe ABC za hesabu za kodi mbali mbali kwanza, allowable expenditure (including fees) zina influence vipi kodi, umuhimu wa kutunza kumbukumbu za matumizi (including fees receipts) kama evidence and so forth.
Halafu aone upuuzi wake ulipo kwenye kufanya hesabu za income (suppose rent is income taxable) na wazo lake kulipia tozo za nyumba kupitia luku wakati risiti wanakaa nazo wapangaji.
Heck ata system yenyewe ya kukusanya hiyo kodi TANESCO bado awajaindaa.
Sasa mtu ambae yeye mwenyewe elimu ya kodi hana, kwanini tushangae anapoteua watu ambao cluesless kwenye maswala ya kodi kama wahamasishaji.
Mambo mengine yanawezekana Tanzania tu.
Kwani wewe huwezi?Acha kudharau na kuharibu ugali wa wenzio. Kwa taarifa yako, Misa alifaulu darasa la saba na kusoma sekondari ya serikali. Ana akili kuliko wewe, hawezi shindwa kuamwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kulipa kodi kwa maendeleo ya taifa lao.
Naweza lakini mimi sio mtu maarufu. Kwenye Insta yangu nina wafuasi wasiofika 700 😆😄Kwani wewe huwezi?
Hilo ndio jukumu la TRA na taasisi zote za kodi duniani ni quasi-governmental.Napendekeza Rais atumie muda wa kutosha kujifunza misingi iliyotumika kuanzisha TRA kama chombo nje ya mfumo wa kawaida wa uendeshaji na usimamizi wa utumishi wa umma. Baada ya hapo atagundua kuwa serikali kuingilia usimamizi na uendeshaji wa TRA ndiyo chanzo cha malalamiko yake juu ya utendaji wa chombo hicho. Tangu mwanzo KAZI ya Rais ilikuwa kuteua mtendaji mkuu(Commissioner General) na alikuwa HAAPISHWI NA RAIS. Aliwajibika kwa Bodi ya Wakurugenzi na kwa mbaaaali, kwa Waziri wa Fedha. Miaka ya mwanzo Waziri asingeweza hata kuingilia uteuzi wa watumishi. Hata kabla ya Waziri kupendekeza kwa Rais mtu wa kuteua kuwa Kamishna Mkuu alishauriana na na Bodi ya Wakurugenzi.
Hivi aliyetuloga hatuwezi kutafuta kaburi lake tukamuombe msamaha jamani?Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua Mbwana Samatta, Hamisa Mobeto na Edo Kumwembe kuwa mabalozi wa kuhamasisha ulipaji kodi. Mbali na hao amewateua wanasiasa wengine kuwa mabalozi wa elimu ya kodi, ili kuhakikisha wananchi wanalipa kodi bila kushurutishwa.
niambie Hamisa anaelewana lugha vip na walipa kodi wakubwa wa hii nchi?😂😂😂😂,Wewe ndo hauko serious hujui hata Mambo ya online influencer au wamwonea wivu mabeto kisa hyo nafasi, tax hata Mimi naweza toa maelezo kwa umma kuhusu ulipaji Kodi na Wala haihitaji kuwa mtu wa PhD in tax management, unataka ku reach a certain group lazima utafte mtu wanaoelewana lugha. Na hivi tax compliance Ina kipi kipya mtu akielekezwa na kutoa ujumbe kwa umma?
Kwani kutoa elimu au tangazo kuhusu swala la Kodi lazima uingie studio.niambie Hamisa anaelewana lugha vip na walipa kodi wakubwa wa hii nchi?,
Pili ana miliki nini cha maana mpaka aonewe wivu?
Wewe kweli una akili?😂😂😂 unaweza kutoa elimu ya tax wakati wewe huna?Kwani kutoa elimu au tangazo kuhusu swala la Kodi lazima uingie studio.
Hamisa ni maarufu na anajulikana kuliko wewe unayejiona umesoma huku hujulikani hata na mjumbe.
Nyie mnaolia lia ndo hamna akiliWewe kweli una akili? unaweza kutoa elimu ya tax wakati wewe huna?
Sinaga wivu wa kijinga to that extent. Mimi nazungumza uhalisia na ukweli. Kama waona tax haina kimya kiasi yeyote anaweza kuhamasisha, bora tuishie hapa..!!Wewe ndo hauko serious hujui hata Mambo ya online influencer au wamwonea wivu mabeto kisa hyo nafasi, tax hata Mimi naweza toa maelezo kwa umma kuhusu ulipaji Kodi na Wala haihitaji kuwa mtu wa PhD in tax management, unataka ku reach a certain group lazima utafte mtu wanaoelewana lugha. Na hivi tax compliance Ina kipi kipya mtu akielekezwa na kutoa ujumbe kwa umma?