Jiwe walilokataa waashi
Tena mlango uliofunguka ni mkubwa zaidi
HONGERA DK. MWELE
ndo maana kila ninapopitia wakati mgumu au kupata majanga naikimbilia madhabahu kuungama maana najua ni malipo ya maovu yangu nilotendaaa...espirato santus
Wakati mwingine matatizo yanapotupata ni ishara kwamba kuna sehemu nzuri zaidi ya hapo ulipokuwa inakuja kikubwa ni kutulia na kuangalia way forwardUkifungwa mlango JPM unafunguka mlango UN
Yote Maisha
Maana raia namba moja anaweza akafanya teuzi ili apate forum ya kuzungumza kwa kusema "tumempigia chapuo nashangaa mitandao inaandika tofauti"Tujiulize kazi hiyo unaomba moja moja binafsi au ni zile unahitaji chapuo la nchi yako. Kwa sisi ambao hatufahamu tubakize maneno. Mwenye kujua atufahamishe.
Nadhani ni wavivu, wasio na sifa na waogaSo kilango yupo kazin
Mwele yupo kazin
Masikin tu hawawez kurud wakishafukuzwa
Hilo kundi la kwanza serikali haitoi go ahead, ni serikali yenyewe inayoteua. Kuna kazi za kimataifa ikifikia level fulani nchi ina mpa support raia wake na ina lobby kwa nchi nyingine ili aweze kuipata. Hivyo anapo omba anakuwa na support ya serikali yake. Kundi la mwisho anaetaka kazi anaomba na akionekana anafaa anachaguliwa bila kuhitaji support ya serikali yake.
Kweli Jodoki KalimiloWakati mwingine matatizo yanapotupata ni ishara kwamba kuna sehemu nzuri zaidi ya hapo ulipokuwa inakuja kikubwa ni kutulia na kuangalia way forward
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
Kuna bwana mmoja pale magogoni yaan anatamani angekuwa katibu mkuu wa UN.. amtumbue huyu mama
Kwani alikuwa mtumishi wa serikali ya mabashite?Hivi mnaamini kuwa mtu anaweza kupewa majukumu km hayo bila kuhusisha serikali yake?
Bavicha wengi wanaonekana kuwa watu wenye uelewa mdogo na exposure ndogo sana kuhusu namna mambo mengi yanavyoendeshwa nchini na duniani.
Sawa kabisa binadamu lazima upitie mapito hatimae uibuke na utoboe kwa mapenzi ya Mungu.Manake mkitumbuliwa Watumishi wa Umma msilie lie yawezekana mkaibuka kivingine...
Wakamuongezea mwendo.Walimpiga chura teke
Sijui bwana yule atajisikiajeHabari waungwana,
Dkt. Mwele Malecela aliyekuwa Mwanamke wa kwanza kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR na kisha 'kutumbuliwa' baada ya kutangaza uwepo wa homa ya Zika nchini, sasa anakuwa Mkurugenzi wa Vituo vya kuzuia na kudhibiti magonjwa Afrika wa Umoja wa Mataifa (WHO-AfRO)
View attachment 490245
Ameondoka jana na kituo chake cha kazi kitakuwa Brazaville nchini Congo.
We we na mm tuna vifaa vya kutambua huo ugonjwa?Na kulikua hakuna kweli,,tuweke hoja kamili kweli huo ugonjwa upo au haupo?na kama haupo je kulikua na nn mpk akatangaza?? Kuna vtu ambavyo kiukwel watu wa huku nje hatujui kinachoendelea kule ndani
Hata tukiwa navyo bado anaetakiwa kuthibitisha ni serikaliNa kulikua hakuna kweli,,tuweke hoja kamili kweli huo ugonjwa upo au haupo?na kama haupo je kulikua na nn mpk akatangaza?? Kuna vtu ambavyo kiukwel watu wa huku nje hatujui kinachoendelea kule ndani
Limekuwa jiwe juu la Pembeni! Hongera sana Daktari. Mtu akiwa ameelimika na Competent kwenye fani yake atauzika tuu.Jiwe walilokataa waashi
Ndio maana alitumbuliwa mkuuKwani alikuwa mtumishi wa serikali ya mabashite?