SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
Mkuu Mungu ni wa ajabu sana,amini nakuambia utaja shangaa mmoja kati ya hao wauaji ataopendwa na Mungu kabla ya Mwakyembe!
Nakubali mkuu, nasikia jamaa ana ugonjwa wa kuzimika zimika kama best wake wa zamani, malipo ni hapa hapa duniani. Dunia itatucheka wabongo kama huyu muuaji na mtesaji akiwa rais.