Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,498
- 37,792
Tunaompenda ndo tunataka kujua alipo. Tuambieni mmemficha wapi siyo kutafuta excuse ya CHADEMA.Nawahsnag snaa chadema kumzushia kifo na mabaya yampate mpango
Kwanza mpango mwenyewee hajawia kuomba kuwa mwanasiasa Ni jiwe ndio alimlazimishaa kuingia kwenye siasa na Sasa bahat ikamdondokeaa kapata umakamu.
Mungu amjalie afya njema Huko aliko