sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,029
- 5,259
Membe alikwishamaliza kazi kuleSitashangaa Lissu akifigisiwa asikanyage huko
Membe alikwishamaliza kazi kuleSitashangaa Lissu akifigisiwa asikanyage huko
Wenye macho wanao na lakini vipofu hujifanya hawaoni na hujitia kiwi ya macho hata kudai upinzani utakufaTendwa: CCM hii inaweza kuanguka
Sunday April 3 2016
Tangu mwaka 1995 vyama vya upinzani vimekuwa vikisimamisha wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu bila ya mafanikio, lakini John Tendwa anawataka wasikate tamaa kwa kuwa CCM inaweza kuanguka.
Aliyekuwa Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa akizungumza na waandishishi wa gazeti hili, jijini, Dar es Salaam hivi karibuni. Picha na Said Khamis
BY Fidelis Butahe, Mwananchi gazeti
IN SUMMARY
Tangu mwaka 1995 vyama vya upinzani vimekuwa vikisimamisha wagombea urais katika Uchaguzi Mkuu bila ya mafanikio, lakini John Tendwa anawataka wasikate tamaa kwa kuwa CCM inaweza kuanguka...
Kusini wanamsubiri kwa hamu sana aende akawasalimie tu na kuwapa matumaini ya malipo ya korosho zaoAkihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika...
NonsenseEti kasema hataenda kwa sababu yeye ni binadamu; yawezekana Mh. Tundu Antiphas Lissu kamvua umalaika na kubakia na ubinadamu kama binadamu wengine.
Gari la mkaa. Trip moja porini, trip nyingine garage.Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika...
Korosho zao atawambia nini?Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali.
Kwa sababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Haya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Pancha nini?Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali.
Kwa sababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Haya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Tuna katiba mbovu snAkihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika...
Ana ogopa kuzomewa kama Kagera...anajua kuna mambo mabaya amewatendea.
..hana ujasiri wa kuonana na wananchi wa kusini.
Subiri tarehe 28 kamanda utaelewa gari ya gereji ni ipi?Si akae sasa? analialia nini sasa...gari ya mkaa, Trip shamba trip gereji
Mkuu,Yeye ni binadamu kwa hiyo atakuwa amechoka au yeye ni binadamu kuna nafsi inamsuta?
Matamanio ya kuwa kiongozi wa Malaika yameyeyuka,hivi kwa akili ya kawaida Binadamu anawezaje kufikiria kuwa kiongozi wa Malaika?Watu wamepagawa hadi kutamka "Mungu Hoyeeee",ni kawaida?Eti kasema hataenda kwa sababu yeye ni binadamu; yawezekana Mh. Tundu Antiphas Lissu kamvua umalaika na kubakia na ubinadamu kama binadamu wengine.
Msimzomee.Ana ogopa kuzomewa kama Kagera.
Moshi na Arusha tuna msubiri.
Anasoma sana na ndiyo maana kuna wakati alisema anatamani malaika ashuke azime hii mitandao.JMP angekuwa anatembeleatembelea huku JF kusoma komenti za wadau na dua zao juu yake nadhani angehama nchi