Dkt. Kigwangalla: Watanzania hawahitaji mambo mengi zaidi ya Chakula na mahitaji ya msingi tu, Serikali ianzishe Price Stabilization Fund kwa Mazao

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutimia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Source TBC
Kumbe na huko mnalijua hilo, sasa hili la kutakiwa kulipa 4000 eti ya kulindwa usiku na ulinzi shirikishi linatoka wapi?.

Mtu mlo wa siku tu shida Mwenyekiti wa Mtaa anaitisha kikao kutaka mlipe elfu nne kila mwezi, yaani kwa namna nyingine yeye anatafuta kuponya njaa yake bila kujali yeye Mananchi anaishi vipi.
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutimia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Source TBC
Kigwangala ulaaniwe, yaani watanzania ume wareduce to that level kuwa wao ni kula tu! Ulaaniwe ufe usiku huu umfuate Jiwe
 
Kumbe na huko mnalijua hilo, sasa hili la kutakiwa kulipa 4000 eti ya kulindwa usiku na ulinzi shirikishi linatoka wapi?.

Mtu mlo wa siku tu shida Mwenyekiti wa Mtaa anaitisha kikao kutaka mlipe elfu nne kila mwezi, yaani kwa namna nyingine yeye anatafuta kuponya njaa yake bila kujali yeye Mananchi anaishi vipi.
Nyie 4000?

Rahisi hiyo Kunduchi 15000!
 
Upuuzi mtupu..

Tatizo siyo bodi au mfuko ila tatizo la kiongozi na usimamizi mbovu katika kusimamia jambo lenye maslahi ya Taifa.

Nahisi hii nchi inaongoza kuwa na taasisi nyingi zenye kuingiliana majukumu, eti utasikia BODI YA MAZAO MCHANGANYIKO, BODI YA PAMBA, BODI YA KILIMO, STAKABADHI GHALANI, BODI YA KOROSHO etc.
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
Tunahitaji chakula na mambo mengine muhimu basi ! Amesema mheshimiwa mengine hawayataki wananchi !! Yaani hata tu ist na tu vitz ?!!
 
mpumbvu sana huyu..yani si tunahitaji chakula tu!?? yani katuona si ng'ombe! madaraka kmmkeee
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
Aliyekuambia hatuna mahitaji mengi ni Nani?shida yetu ni chakuka na Mambo madogomadogo!!!labda wananchi wa nzega .

Mwananchi Hana 5200/siku na wewe unalijua Hilo na unapokea 300,000/siku!!!! shame on you
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
Kaongea vema sana... mwenye masikio na asikie
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
Hata Warusi cha kwanza walianza kupiga na kuiba maghala ya mazao ya Ukraine!
 
Mbunge wa Nzega Dr Kigwangala ameishauri Serikali ianzishe Mfuko wa kudhibiti Bei za Mazao ya Chakula yaani Price Stabilization Fund

Dr Kigwangala amesema dunia inaelekea kwenye njaa na Watanzania wengi hawana Tsh 5200 ambacho ni Kiwango cha kimataifa cha binadamu kutumia kwa Siku, Mfuko huo utasaidia wananchi kumudu Bei ya Vyakula

"Wananchi wetu wanachohitaji ni Chakula na mahitaji muhimu basi, hawana mambo mengi" amemalizia Dr Kigwangala Bungeni Leo

Chanzo: TBC
Hizi no dharau
 
mpumbvu sana huyu..yani si tunahitaji chakula tu!?? yani katuona si ng'ombe! madaraka kmmkeee

Kaka nadhani wewe huijui hii nchi na ina watu gani?
Alichosema Hamis ni kwa kuangalia majority ya watanzania wakoje.
Wewe na mimi tunaweza tukawa tuko juu ya hiyo amount aliyotaja lkn ni watu wangapi katika idadi ya Watanzania.
Kwa hivo kama wewe unacho zaidi tulia songa mbele wenzio wengi wana hali ngumu sana huko vijijini.
 
Tatizo ni kuwapa vihiyo majukumu makubwa.

Huu ndio msimamo wa waziri wa kilimo

Bashe anapendekeza sera za kijamaa kwenye kusaidia wakulima. Anataka serikali iwape mbolea ya ruzuku wakulima, dawa za kuulia wadudu, mikopo rahisi, wataalamu watumike bure. Anachosahau gharama zote hizo zinalipwa na hela walipa kodi karibu na trillion if not in trillions of shillings.

Wakulima wakishavuna waziri huyo huyo anageuka bepari anataka bei ya soko iamue manunuzi ya mazao, huku akisahau kwa utaratibu wa bei za kimataifa nchi tajiri can outbid nchi maskini kwa sababu jamii zao zimetuzidi gdp per capita and purchasing power. Kwa ivyo kwa utaratibu huo mtanzania maskini ataumia sana na amechangia kwenye gharama za mkulima katika uzalishaji kupitia kodi.

Hawa wapuuzi wasiojielewa na elimu zao za kuunga unga sijui wanafikiaje kupewa wizara, kama una support kilimo cha ujamaa basi sera yako iwe kwa mapana zaidi sambamba na uhalisia wa hali ya uchumi wa watu wako.

Na kama una support market forces let them work independently bila ya serikali kuingilia. Lakini uwezi taka watanzania watumie kodi zao kusaidia wakulima halafu usitake kuweka price ceiling ya mazao ili watu wanaochangia wakulima kwenye kuzalisha wawe na uwezo wa kununua hiko.

Yaani ukimsikiliza Bashe ni pumba tupu mwanzo mwisho ni mtu aliekariri mambo tu; only hakuna watu wa kumuhoji ku expose his limitations kwenye ujinga anao ongea mara nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom