Baba Dorcas
Member
- Jan 15, 2012
- 83
- 5
Naibu katibu mkuu wa umoja wa mataifa dkt Rose Migiro! Nini tafsiri ya kusema kuwa ni utani ya msemo wa "Mchimba shimo huingia mwenyewe"? Hvo unavyosema ndivyo viongoz wetu wanasema, tena wao utani wao ni wa kuua. Je hata wewe umeiga viongozi ulowaacha bongo! Ushaur wangu naomba uache kufanya utani kwenye sera katika nchi za watu. Ni maoni yangu!