Dk. Slaa aligoma kwenda Lushoto kwasababu ya urafiki na Mzee Makamba uchaguzi mkuu 2010

Kwanza Yusuph makamaba hajawahi kuwa rfiki na Dr sLAA hata siku moja, mwak 2010 tar 11/9/2013 alimtukana Dr Slaa kuwa anakimada na Dr Slaa alimjibu kwa kumtaka atoe sababu za yeye kuingia katika siasa na kuacha kazi yake ya ualimu na hatimaye makamba kumwomba msamaha Dr Slaa, lakini bado Dr Slaa alikwenda mjini tanga katika majimbo yote ya uchaguzi kuomba kura akiwa mgombea wa urais. Kanye kwanza ndio uje hapa na hoja zako mana naona haja ikikubana unalopoka tuu
Kimada? kwani padri anaruhusiwa kubanjua amri ya 6
 
naungana na mtoa mada. Mimi ndio nilikuwa mgombea na Dk
hakuja narudia tena Dk hakuja.

Inaonekana Dr.Slaa anaona mbali sana,yaani aliweza kukugundua mapema ulivyo mlaghai na njaa kali! koma kutafuta umaarufu kwa mgongo wa prezidaa mtarajiwa.
 
Mleta mada umeangali km security ilikuwa ni issue?Hiyo si lazima isemwe wazi kwani itawapa kichwa wapinzani.
 
katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 wagombea ubunge wa majimbo ya Mlalo ndg Charles Kagonji na wa jimbo la lushoto mjini ndg Deo Kisandu kwa tiketi ya chadema, Dk. Slaa aligoma kwenda msjimbo hayo kutokana na kuogopa kumwangusha rafiki yake Yusuf Makamba ambae waliongea kutokufika majimbo hayo. Hata hivyo Slaa aliacha kwenda Lushoto mara mbili kinyume na ratiba na kushuka korogwe vijijini ambayo haikuwemo kwenye ratiba,pamoja na Deo kisandu kumfuta mombo na gari lakini slaa aliendelea kuweka msumeno. Nashangaa sana wenje anapomlaumu zitto kuwa hajamnadi. viongozi wote CDM ni mamluki. baada ya uchaguzi mkuu2012 babu ndiyo akaenda Lushoto kwakuwa hakuna uchaguzi.


Siasa za maji taka ndiyo ndiyo zinawapeleka kaburini na CCM yenu
 
Hivi Yusuph Makamba aligombea cheo gani kwenye hayo majimbo mawili? Just curious...

Kisandu ameishasahaulika kwenye siasa za bongo, hii style ya kutaka kurudi kwa mgongo wa Dr Slaa haitamsaidia. After all tumeishawazoea wanasiasa uchwara wa bongo wengi wao ili wajulikane lazima wapitie mgongo wa Dr Slaa
2010 aliyegombea mlalo alikuwa Brigedia Hassan Ngwilizi(CCM) na Kagonji(Chadema).Yusuf Makamba hakugombea.
 
Deo Kisandu acha unafiki,je unakumbuka watu walikaa na kusimama kandokando ya barabara kuanzia Lukozi hadi Kwezindo Mlalo wakati wakimsubiri Dr akitoka kisiwani Same?je unakumbuka wewe ndiye piga simu Kwa mzee Kagonji kuwa chopa imeshindwa kupanta milima kutokana na wingu kubwa lilitanda anga la usambara?je unakumbuka wewe ndie uliyeomba watu wenye uwezo ufuatane nao Mombo?je unakumbuka ulitutaarifu kuwa kwa wenye luninga washuhudie mdahalo wa Dr Slaa saa2 usiku?je unakumbuka maneno yako hayakuwa tofauti na yale ya Dr wakati akianza kuzungumza katika mdahalo ule?ni vema ukaacha ushabiki katika mambo mengine maana utakuwa mlevi wa sifa za kijinga.
 
Deo Kisandu acha unafiki,je unakumbuka watu walikaa na kusimama kandokando ya barabara kuanzia Lukozi hadi Kwezindo Mlalo wakati wakimsubiri Dr akitoka kisiwani Same?je unakumbuka wewe ndiye piga simu Kwa mzee Kagonji kuwa chopa imeshindwa kupanta milima kutokana na wingu kubwa lilitanda anga la usambara?je unakumbuka wewe ndie uliyeomba watu wenye uwezo ufuatane nao Mombo?je unakumbuka ulitutaarifu kuwa kwa wenye luninga washuhudie mdahalo wa Dr Slaa saa2 usiku?je unakumbuka maneno yako hayakuwa tofauti na yale ya Dr wakati akianza kuzungumza katika mdahalo ule?ni vema ukaacha ushabiki katika mambo mengine maana utakuwa mlevi wa sifa za kijinga.

upo sahihi mkuu, nakumbuka jioni ya siku ile Dk.Slaa alikuwa akihojiwa katika kituo cha ATN.
 
Vipi na ile ya Rais kutokwenda Kigoma Kaskazini kipindi cha kampeni tuuite ni kwa sababu ya Ushoga wao au inakuaje hapo hebu dadavua aisee
 
Kama machale yalimcheza akupigie chapuo msaliti we huwezi shinda bila Dr slaa?

Angekupigia kampeni si ungekuwa MM4 kweli

Jamani masalia, Wasaliti sina zawadi ya kuwapa zaidi ya kuwaombea mipango yenu iwe kama mbuni aliyefunika kichwa akaacha mwili wazi bila kujijua na MKAFIE MBALI KIMKAKATI NA KISIASA na ndo mnayostahili.

Mnadhani mnasafishika kuwasafisha nyie na usaliti wenu ni sawa na kuosha kanzu na mkaa ukitegemea itangaa mlaaniwe mjini na vijijini watu na kuwaona si lolote kwa hujuma za ukombozi wa pili
 
ndio mnajibu hoja za kifo cha msaliti mkuu kumnusuru jibuni Hoja kuu
1.Waraka
2.Siri za...
3.Kwanini mlitumia wakili kuonyesha ukiukwaji wa katiba ili muendelee kuwa viongozi na wanachama wa CHADEMA YATOSHA au CHADEMA NDO MPANGO MZIMA na wakati wa KUSALITI, KUHUJUMU hamkumtumia wakili kutumia katiba ktk kuhujumu chama.

Mnataka katiba iheshimiwe kulinda wasaliti na hamtaki iwaumbue wasaliti ambao waliona wakitumia haina ushirika na usaliti iweje mjifiche nyuma ya katiba ambayo mlitenga wakati mnaandaa usaliti??

Mlaaniwe vijiji, mjini mkiongea habari za ukombozi MSIELEWEKE kwa kuwa mchana ukombozi usiku Ukoloni mweusi, Mlaaniwe na vyama na wapenda mabadiliko, wasomaji na watazamaji waonapo habari zenu na wawaangaliapo kwenye TV WATEME MATE, Mlaaniwe bungeni hata na wapenda mabadiliko wa ssm na majimboni wawape zawadi ya kupigwa chini kwenye kura kwa kuwa mmekataa mabadiliko muwe wahanga wa mabadiliko. mlaaniwe na mabadiliko
 
katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 wagombea ubunge wa majimbo ya Mlalo ndg Charles Kagonji na wa jimbo la lushoto mjini ndg Deo Kisandu kwa tiketi ya chadema, Dk. Slaa aligoma kwenda msjimbo hayo kutokana na kuogopa kumwangusha rafiki yake Yusuf Makamba ambae waliongea kutokufika majimbo hayo. Hata hivyo Slaa aliacha kwenda Lushoto mara mbili kinyume na ratiba na kushuka korogwe vijijini ambayo haikuwemo kwenye ratiba,pamoja na Deo kisandu kumfuta mombo na gari lakini slaa aliendelea kuweka msumeno. Nashangaa sana wenje anapomlaumu zitto kuwa hajamnadi. viongozi wote CDM ni mamluki. baada ya uchaguzi mkuu2012 babu ndiyo akaenda Lushoto kwakuwa hakuna uchaguzi.

Acha uongo na unafiki.
 
Back
Top Bottom