JAMII-ASM
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,305
- 524
Na huyu mwenye kampuni hii ya uwakili leo kajiunga rasmi na lowassa.teh teh teh
Magufuli lazima aanze na huyu mama. Rex lazima washughulikiwe.
Na huyu mwenye kampuni hii ya uwakili leo kajiunga rasmi na lowassa.teh teh teh
hawa ndio wanadai wanataka kuleta mabadiliko wakati wameifikisha nchi hii pabaya na chadema wanawafurahia
Huyu na mwanaidi sinare wana u ndugu?
Huyu na mwanaidi sinare wana u ndugu?
Na binti yake ndo kapandishwa kizimbani kisutu pamoja na harry kitilya.Wamepishana mwaka 1 nadhani!
Tumeanza na binti, anafuata mama yake, baba shangazi mtu, Safari hii Tundu Lissu atapiga hela ndefu sana majizi yote yako nae huko.Magufuli lazima aanze na huyu mama. Rex lazima washughulikiwe.
Punguza roporopo binti!tunataka mkwer&co huo ndy jmbz no 1Tumeanza na binti, anafuata mama yake, baba shangazi mtu, Safari hii Tundu Lissu atapiga hela ndefu sana majizi yote yako nae huko.