Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
TANGU kuanza kwa mjadala wa vita dhidi ya ufisadi, makamu wa rais, DK Ali Mohammed Shein amekuwa kimya, lakini jana aliamua kufungua mdomo na kuwataka wananchi watumie haki yao ya kupiga kura kuzuia mafisadi kushika uongozi...
http://www.globalpublisherstz.com/habari_mbalimbali/