Dk. Mwigulu Nchemba akabidhi ofisi rasmi

Dr. Mwigulu alikuwa waziri sahihi sana kwa wizara hii sema hujuma tu ndio zimemtoa.
Hujuma za baadhi ya watu wa karibu na mkubwa pamoja na mkubwa ndio shida kubwa hapa.

Bila shaka wewe ni shabiki kindakindaki wa Mwigulu Nchemba Dk. mbambaishaji...!!
Rejea hutuba ya Mhe. Rais siku alipokuwa akiwaapisha kina Kangi Lugola...kwamba Mchemba KASHINDWA KUSIMAMIA JESHI LA POLISI KUZUIA AU KUPUNGA AJALI BARABARANI, KASHINDWA KUSHUGHULIKIA SCANDAL YA LUGUMI, MRADI WA BVR NA SARE HEWA ZA POLISI.....Lakini pia kuna mengine JPM hakuyataja kama KUSHINDWA KUWAKAMATA WALIOMPIGA RISASI ZAIDI YA 30 TUNDU LISSU,WAHAMIAJI HARAMU WA KISOMALI NA KIHABESHI WANAOKAMATWA NCHINI KILA SIKU NA KUPOTEA KWA AZORY GWANDA na mengine mengi....!!!

Mwigulu Nchemba hakupashwa kabisa awe kwenye hiyo Wizara ambayo i nyeti sana kwa UHAI,USALAMA NA ULINZI WA WATANZANIA....Acha akae pembeni..!
 
Mizembe 14 kwa mujibu wa rais. Unaachaje Lugumi case,Lissu case etc. unaongelea bodaboda?!? Kiukweli vijana wanatuangusha sana...wamebaki kurusha maneno kama 'harakaharaka' maneno meeengi kazi kiduchu.
 
IMG-20180710-WA0021.jpg
Hongera kwake ametokea kwenye List
 
Bila shaka wewe ni shabiki kindakindaki wa Mwigulu Nchemba Dk. mbambaishaji...!!
Rejea hutuba ya Mhe. Rais siku alipokuwa akiwaapisha kina Kangi Lugola...kwamba Mchemba KASHINDWA KUSIMAMIA JESHI LA POLISI KUZUIA AU KUPUNGA AJALI BARABARANI, KASHINDWA KUSHUGHULIKIA SCANDAL YA LUGUMI, MRADI WA BVR NA SARE HEWA ZA POLISI.....Lakini pia kuna mengine JPM hakuyataja kama KUSHINDWA KUWAKAMATA WALIOMPIGA RISASI ZAIDI YA 30 TUNDU LISSU,WAHAMIAJI HARAMU WA KISOMALI NA KIHABESHI WANAOKAMATWA NCHINI KILA SIKU NA KUPOTEA KWA AZORY GWANDA na mengine mengi....!!!

Mwigulu Nchemba hakupashwa kabisa awe kwenye hiyo Wizara ambayo i nyeti sana kwa UHAI,USALAMA NA ULINZI WA WATANZANIA....Acha akae pembeni..!
weee sasa ndio hata hujui basi tu unasikiliza habari za huyo jamaa wa nyumba nyeupe na una conclude hapo hapo. Hivi unadhani Lisu alishambuliwa kwa risasi zote hizo bila nyumba nyeupe kujua??? Kushambuliwa kwa Lissu hakukua jambo la waziri bali wale wasiojulikana ambao ndio waliokwenda hata kwa Nape.
Mwigulu katwishwa tu mzigo ambao hata hahusiki na hata uchnunguzi asingeweza kufanya la angejaribu yangeshatokea haya ya kuondolewa mapema tu kama ilivyotokea kwa Nape.
 
Mizembe 14 kwa mujibu wa rais. Unaachaje Lugumi case,Lissu case etc. unaongelea bodaboda?!? Kiukweli vijana wanatuangusha sana...wamebaki kurusha maneno kama 'harakaharaka' maneno meeengi kazi kiduchu.

Kwa mnaoamini Kesi ya Lissu au Lugumi au hizo machine za finger print kuwa majibu yatapatikana kwa waziri huyu mpya nawasubiri na naomba uhai ili wote tuyasikie.
100% ya wale wataojaribu kuibua issue ya Lissu kwa mfano wataondolewa katika early stages kabla hawajafanya lolote. Nyumba nyeupe inajua walichofanya, hata waziri hajui ndio maana issue iko kimya tu.
 
weee sasa ndio hata hujui basi tu unasikiliza habari za huyo jamaa wa nyumba nyeupe na una conclude hapo hapo. Hivi unadhani Lisu alishambuliwa kwa risasi zote hizo bila nyumba nyeupe kujua??? Kushambuliwa kwa Lissu hakukua jambo la waziri bali wale wasiojulikana ambao ndio waliokwenda hata kwa Nape.
Mwigulu katwishwa tu mzigo ambao hata hahusiki na hata uchnunguzi asingeweza kufanya la angejaribu yangeshatokea haya ya kuondolewa mapema tu kama ilivyotokea kwa Nape.

OK, acha nikukubalie hilo la TL kumininiwa shaba zaidi ya 30. Vipi kuhusu Lugumi iliyomung'oa Mhe.Charles Kitwanga na swahiba wa mzee wa jumba jeupe? Vipi kuhusu ajali, watu kutekwa au kupotea na wahamiaji haramu??
Wakti mwingine tuwe wakweli tusitake kutetea upuuzi na uzezeta.
 
Mchana wa Leo Dk.Mwigulu Lameck Nchemba amemkabidhi ofisi Kangi Lugola

July 10, 2018 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dr Mwigulu Nchemba amekabidhi rasmi ofisi ya Wizara hiyo kwa Waziri mteule mpya Kangi Lugola Dodoma.

Nchemba ameongelea pia baadhi ya mambo ambayo kama Wizara ilianza kuyashughulikia na angetamani kuona yakitekelezeka ikiwemo ahadi ya uandaaji wa kanuni mpya ya utozaji faini kwa vyombo vya moto ikiwemo bodaboda.
View attachment 806542 View attachment 806543
pipa anamkabidhi diaba ofisi
 
Mchana wa Leo Dk.Mwigulu Lameck Nchemba amemkabidhi ofisi Kangi Lugola

July 10, 2018 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dr Mwigulu Nchemba amekabidhi rasmi ofisi ya Wizara hiyo kwa Waziri mteule mpya Kangi Lugola Dodoma.

Nchemba ameongelea pia baadhi ya mambo ambayo kama Wizara ilianza kuyashughulikia na angetamani kuona yakitekelezeka ikiwemo ahadi ya uandaaji wa kanuni mpya ya utozaji faini kwa vyombo vya moto ikiwemo bodaboda.
View attachment 806542 View attachment 806543
mwigulu unayakumbuka mateso waliyoyapata wananchi huko MKIRU? unamkumbuka mwenyekiti wa kijiji kimoja aliyemtaja mwenzie kwa makosa kisa anamdai tsh 2 na baada ya kusema ( aliyetajwa) katajwa kwakuwa anadaiwa na jeshi lilipothibitishwa yule mwenyekiti aliuwawa mbele ya kadamnasi? unakumbuka watu walikuwa wanawekwe kwenye msalaba kama yesu na kuninginizwa ili wataje hata ya uongo? unakumbuka yalipokuwa yanaulizwa maswali kama haya bungeni ulijibu kwa kebehi kama vile wanapotea mbwa? unakumbuka kauli za mwenyekiti kwamba " walipokuwa wanauwawa wa ccm hamkisema kitu wanauwawa hawa ndio mnapiga kelele? nakushauri nenda rufiji kama mbunge huru sasa ukayasikie kwa masikio yako.
 
Mchana wa Leo Dk.Mwigulu Lameck Nchemba amemkabidhi ofisi Kangi Lugola

July 10, 2018 Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dr Mwigulu Nchemba amekabidhi rasmi ofisi ya Wizara hiyo kwa Waziri mteule mpya Kangi Lugola Dodoma.

Nchemba ameongelea pia baadhi ya mambo ambayo kama Wizara ilianza kuyashughulikia na angetamani kuona yakitekelezeka ikiwemo ahadi ya uandaaji wa kanuni mpya ya utozaji faini kwa vyombo vya moto ikiwemo bodaboda.
View attachment 806542 View attachment 806543


Anayekabidhi anaonekana kama ndiye anayekabidhiwa and vice versa
 
Ashukuru kuondolewa kumemfanya asiwepo kwenye ile picha ya pamoja ya kupokea Dreamliner maana huko tuendako walionekana katika ile picha hawatapenda kuiona tena maana yajayo kuhusu ndege hiyo na ATC kwa ujumla yanafurahisha.

In short, watapata tabu sana kutazama hiyo kumbukumbu.
Unapata tabu sana kuiombea mabaya ndege,mwanzo mlituambia ni mtumba,sasa mnakuja na uzushi mwingine
 
Unajua mambo ya system wewe???
TZ sio UK au USA mkuu. Ukisema unajiuzuru unaweza kuta umetumwa kutibiwa India!
Acha mambo ya itikadi mkuu. Katika awamu tofauti Kawawa alijiuzulu, Sokoine alijiuzulu, Mwinyi alijiuzulu wizara hiyo hiyo baada ya mauaji ya Shinyanga, Lowassa kajiuzulu uwaziri mkuu. Je hawa walikuwa UK au USA si walikuwa wanafanya kazi Bongo?? Na walipelekwa India kutibiwa?? Tatizo la waafrika hawatoki kwenye vyeo mpaka wafukuzwe au kondolewa kwa nguvu. Huu ndiyo ujinga wetu na hatutaendelea tukiendelea kuwa na dhana kama hii ya kwako.
 
Utahangaika sana kutetea ila hutobadili ukweli wa hatima ya shirika letu
wewe kuja jambo gani ulilisimamia kulipinga ukafanikiwa?tokea zama za Acacia na email zako mpaka ndege ukasema ni chakavu,sasa unajitia kususia ni kwa vile huna safari za kuhitaji ndege sana sana umeenda mbwinde kumsalimia bibi
 
OK, acha nikukubalie hilo la TL kumininiwa shaba zaidi ya 30. Vipi kuhusu Lugumi iliyomung'oa Mhe.Charles Kitwanga na swahiba wa mzee wa jumba jeupe? Vipi kuhusu ajali, watu kutekwa au kupotea na wahamiaji haramu??
Wakti mwingine tuwe wakweli tusitake kutetea upuuzi na uzezeta.
Bado nasisitiza UTEKAJI NA KUPOTEA NI MRADI MKUBWA NA SIRI YA NYUMBA. WAZIRI ASINGEWEZA KUUCHUNGUZA HATA KIDOGO.... unataka kuniambia mkuu wa familia alikuwa anapendezwa nayo?? Maana kama hayakuwa yanamvutia si angeagiza yeye mwenyewe uchunguzi ufanyike ili wahusika wapatikane. Lakini ulishasikia TAMKO lake wapi??
Haya ya Lugumi nayo unawajua wahusika wakuu??? Katika hali ya kawaida tu unapaswa ujiongeze kujua hapana uchunguzi utafanyika simply because waliohusika ni untouchable.
Huyu mpya nadhani umeshaona mrengo wake mapema tu, kasema kupotea kwa watu wizara haihusiki-mtu anapotea tu nyumbani kwake yaweza kuwa maisha magumu tu yamemshinda, kwa haya majibu unategemea uchunguzi gani ndugu??

Unazungumzia ajali eti ndio sababu ya kumwondoa waziri, huu nao ni uzembe wa karne. Lini Tanzania ishakuwa haina Ajali??? Mnaacha kushughulikia miundombinu mnafanya majibu rahiiiiisi!
 
Acha mambo ya itikadi mkuu. Katika awamu tofauti Kawawa alijiuzulu, Sokoine alijiuzulu, Mwinyi alijiuzulu wizara hiyo hiyo baada ya mauaji ya Shinyanga, Lowassa kajiuzulu uwaziri mkuu. Je hawa walikuwa UK au USA si walikuwa wanafanya kazi Bongo?? Na walipelekwa India kutibiwa?? Tatizo la waafrika hawatoki kwenye vyeo mpaka wafukuzwe au kondolewa kwa nguvu. Huu ndiyo ujinga wetu na hatutaendelea tukiendelea kuwa na dhana kama hii ya kwako.
Haya Mwigulu kashatoka fanyeni uchunguzi wa mauaji na utekaji na kupigwa Risasi Lissu kama huyu ndio alikuwa kikwazo. Ukitaka kujua hili jionee hata mkuu wa familia hajalisemea la lissu kupigwa risasi na kukosekana kwa uchinguzi kama issue, kwake sio issue kabisa ila issue ni ajali.
Hapo unaweza kuona kuwa familia hii ina watu wasiojulikana ambao wanatekeleza maagizo toka kwa baba.
 
Back
Top Bottom