zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Aache longolongo mbona ripoti ya madaktari haiweki hewani na sisi tuione . Huyu jamaa naona anatuyeyusha tuu ili apate huruma ya wananchi hajawekewa sumu huyu liongo tuu
naskia alishawahi kuzidiwa tena hata kabla ya hii issue ya india, akaenda kutibiwa
hivi ile ilikua sumu?
Vyanzo vyetu vya habari kutoka kwa ndugu na marafiki wa karibu wa Dk. Mwakyembe vilisema kuwa, naibu waziri huyo ambaye pia ni Mbunge wa Kyela, amefikia hatua ya kuandika waraka huo kwa lengo la kutaka kuijulisha familia yake na taifa kile anachoamini anakabiliana nacho endapo atapoteza maisha kabla ya ukweli kamili kubainishwa. Hata hivyo, kutokana na ukweli kwamba suala hilo la afya ya Dk. Mwakyembe liko katika hatua za uchunguzi, Tanzania Daima Jumatano haliwezi kuandika kwa undani kuhusu waraka huo kwa sasa.
Watu wengine sijui vipi?! Mtu umeambiwa ripoti na majina haviwezi kuwekwa hadharani kwa sasa kwa sababu uchunguzi unaendelea watu wanakosoa tu utadhani hawaelewi.
Tanzania Daima kwa level hii wametoa clue tu ya hicho alichoandika Mwakyembe hawajaingia kiundani na ndio maana hakuna ndugu wala Mwakyembe mwenyewe aliyekuwa quoted kuhusu huo waraka
Hivi The Invisible na Invisible ni ID moja or ni ID mbili tofauti?...nipo curious kufahamu!
Watu wengine sijui vipi?! Mtu umeambiwa ripoti na majina haviwezi kuwekwa hadharani kwa sasa kwa sababu uchunguzi unaendelea watu wanakosoa tu utadhani hawaelewi.
Tanzania Daima kwa level hii wametoa clue tu ya hicho alichoandika Mwakyembe hawajaingia kiundani na ndio maana hakuna ndugu wala Mwakyembe mwenyewe aliyekuwa quoted kuhusu huo waraka
Hii ilishaelezwa humu JF Kuwa mkakati ulipangwa Moven Pick, ijumaa ya tarehe 01/10/2010 saa 4:25 na wahusika ni kama ifuatavyo:
TISS/A001
TISS/B1
TISSB32
TISS/B5
TISS/A6
TISS/F5
Rejea Thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ugonjwa-wake-yaivuruga-serikali-pinda-2.html
Hapana ndugu mhariri, huo ni uharo na uongo mkubwa!
Umeshasema kwamba ndugu wa Mwakyembe wenyewe wamekwambia kwamba nia ya kuandikwa waraka huo ni kuliambia taifa kilichojiri, huwezi tena ukageuka ukasema habari haitakiwi kuwekwa wazi eti kwa sababu ya uchunguzi, wewe mhariri na waandishi wako you don't know what you are doing at your job, tena waongo wakubwa, huna hakika na unachoandika, mmeenda shule ya journalism ya chini ya miembe, vilaza wakubwa!
Umesema yeye mwenyewe Mwakyembe "amesambaza" waraka wenye majina ya watuhumiwa, itakuwaje tena wewe ndio uogope kutaja kile ambacho tayari kimeshatajwa? Tuna uhuru wa vyombo vya habari tatizo wahariri waoga, uozo! Halafu hakuna competition, ingekuwa Tanzania Daima wanajua kwamba wao wasipoanika huo waraka basi chombo kiingine kitaandika wangewahi kuuchapa, lakini ndio hivyo tena, hatuna waandishi wa kweli kwenye press Tanzania, nazi tupu!
Watu wengine sijui vipi?! Mtu umeambiwa ripoti na majina haviwezi kuwekwa hadharani kwa sasa kwa sababu uchunguzi unaendelea watu wanakosoa tu utadhani hawaelewi.
Tanzania Daima kwa level hii wametoa clue tu ya hicho alichoandika Mwakyembe hawajaingia kiundani na ndio maana hakuna ndugu wala Mwakyembe mwenyewe aliyekuwa quoted kuhusu huo waraka
so hizi ni ID mbili tofauti?