Dk. Joyce Ndalichako atosha wizara ya elimu

hapa ndipo huwa naikubali jamii forum. Kuna watu wanaunabii,wanaleta vitu vyenye tija,vitu vinavyoweza kutokea n.k
 
Joyce ndalichako ni sahihi kwa nafasi hiyo . Nchi itapandisha kiwango cha elimu kimataifa. Hongera mheshimiwa umeliona tatizo na dawa yake .
 
Atumbue majipu vyuoni
Degree za Chupi zinanikera saana!!
walosoma kwa msoto zamani vyeti vyao havina thamani!!
Ukivua tuu Una A+
Usistaduu chuo unanikera!
Chuo ni maonesho sio masomo tena!
 
Agenda za kufanyia kazi Dr Joyce.
1. Mhamishe Prof Mchome.. huyu ameshiriki kuchakachua matokeo baada ya wewe kukataa kuyachakachua.
2. Rudisha mfumo division.. sijui GPA etc zibakie hukohuko vyuoni.
3. Anzisha hardship bonus kwa walimu wa vijijini..
4. Anzisha perfomance bonus.kwa shule za serikali zinazo fanya vizuri.. na hizo bonus wapewe walimu wote.wa shule hizo..
5. Rudisha mfumo wa matokeo kamili.kwa shule za msingi .. achana na hizo A.. B.. sijui C.. etc ambazo prof mchome na ccm wameziweka ilinkuficha ukweli..
 
hapa ndipo huwa naikubali jamii forum. Kuna watu wanaunabii,wanaleta vitu vyenye tija,vitu vinavyoweza kutokea n.k

Ni kweli, naunga mkono hoja.

Sasa ni wakati wa kutaja majembe mengine popote pale yalipo ambayo yalifichwa na watawala waliopita kimizengwe na majungu. Kumbuka, unapotaja mtu, eleza na sifa zake kidogo ili mh aweze kuona kama anasoma hapa JF. Taja, Jina, Wizara aliko na nini anafanya au alifanyiwa!
 
Huyu dada ni mdini sana hafai wizara hiyo

Ni lazima wenzetu waislam mtasema hivyo maana udin ndio jadi yenu, lakini kwa maoni yangu huyu mama anatosha, someni kwa bidii mfahuru kihalali muone kama mama ndalichako atayafuta matokeo yenu, msiwe na roho za udini kama watoto wenu hawaijitumi kusoma wana kazania misahafu ambayo haipo necta watafahulu vipi? Inamana kipindi chake alicho kuwa katibu necta hakuna waislam walio fahulu?? Achen unafiq.
 
Aende akaongoze vigango vya kanisa. huyu mama hafai kashafelisha watu wengi kisa dini. Kama mnampenda mpiganieni naye aitwe mwenyeheri au mtakatifu kwa kazi alizozifannyia kanisa.

Mpuuzi wewe tatizo hamjui kutofautish madarasa na shule...! Kwako mkali wa kuroan unadhano atakuwa mkali wa hesabu pia...! Mtaishia hizo hadithi za mtume biblia inasema "mtafuteni elimu msimwache aende zake" mnakomaa na madarasa mnasahau shule mtaisoma namba km ssm nyie...
 
Uwaziri siyo mbege kila mtu anaweza kupewa.

Dogo pole, kashapewa! Bado utazidi kuisoma namba maana hata ubalozi wa nyumba kumi sahau kabisa!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ni kweli, naunga mkono hoja.

Sasa ni wakati wa kutaja majembe mengine popote pale yalipo ambayo yalifichwa na watawala waliopita kimizengwe na majungu. Kumbuka, unapotaja mtu, eleza na sifa zake kidogo ili mh aweze kuona kama anasoma hapa JF. Taja, Jina, Wizara aliko na nini anafanya au alifanyiwa!
Kila siku huwa nasema Jf kiboko.. Humu kuna vichwa vya maana. Salute Jf.
 
Back
Top Bottom