Dk Bana: Kuna tatizo ndani ya CHADEMA. Kama hawawezi kujifanyia tathimini, mimi niko tayari

hilo ndio tatizo kubwa la wanachadema hawataki kusikia mtu akiwakosoa wao wanataka kusikia mtu akiunga mkono madai yao kama kunyanyaswa, kunyimwa haki ya kufanya mikutano lakini mtu anayewaambia wafanye tathimini wanamwona ni mpuuzi na kuanza kumshambulia
 
View attachment 882409

Wachambuzi wa masuala ya siasa nchini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pamoja na RUCU, wamevitaka Vyama vya Upinzani nchini kujifanyia tathimini kufuatia hamahama ya Makada wao wa udiwani zaidi ya 100, pamoja na wa ubunge wapatao sita.
Dk. Benson Bana (UDSM) alisema huenda kuna tatizo linaloendelea ndani ya Upinzani na linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi haraka. "CHADEMA iache kukimbia tatizo wanapaswa kujiuliza kwa nini yanatokea wakati huu?"
Dk. Bana alieleza kuwa, "Wajifungie wafanye tathimini, kama hawawezi kujifanyia wawatafute hata watu wa nje .... binafsi nipo tayari kufanya hivyo tena bure kabisa."

Naye Dk. Richard Mbunda (UDSM) alieleza kuwa, hakuna sababu ya Wapinzani kuendelea kulalamika bila kurudisha imani yake kwa wananchi. "Kuendelea kulalamika siyo suluhu, wanatakiwa kupambana, siasa ni mapambano."

Prof. Gaudence Mpangala (RUCU), alivishauri Vyama vya Upinzani kujiunga na kupambana na hali inayoendelea. "Hata CHADEMA wakija na Sera mpya hawatafanikiwa katika mazingira haya. Lazima watatue kiini cha tatizo."
Profesa Mpangala aliongezea kuwa, "Ni lazima watambue kuwa, mkakati uliopo ni kuua Upinzani nchini, Sasa wakitambua hilo ninaamini watachukua hatua stahiki."

‘Upinzani wajitathmini hamahama ya wabunge’
Km mtawala anafanya mambo ambayo ndio yalikuwa kiini cha nguvu na ushawishi wa upinzani kwa wananchi, kwanini waliokuwa wanahitaji kuona mambo hayo yakitendeka wasiondoke upinzani na kuungana na watawala ili kuongeza nguvu ktk utekelezaji na ufanikishaji kwa ufanisi wa hali ya juu?
 
View attachment 882409

Wachambuzi wa masuala ya siasa nchini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pamoja na RUCU, wamevitaka Vyama vya Upinzani nchini kujifanyia tathimini kufuatia hamahama ya Makada wao wa udiwani zaidi ya 100, pamoja na wa ubunge wapatao sita.
Dk. Benson Bana (UDSM) alisema huenda kuna tatizo linaloendelea ndani ya Upinzani na linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi haraka. "CHADEMA iache kukimbia tatizo wanapaswa kujiuliza kwa nini yanatokea wakati huu?"
Dk. Bana alieleza kuwa, "Wajifungie wafanye tathimini, kama hawawezi kujifanyia wawatafute hata watu wa nje .... binafsi nipo tayari kufanya hivyo tena bure kabisa."

Naye Dk. Richard Mbunda (UDSM) alieleza kuwa, hakuna sababu ya Wapinzani kuendelea kulalamika bila kurudisha imani yake kwa wananchi. "Kuendelea kulalamika siyo suluhu, wanatakiwa kupambana, siasa ni mapambano."

Prof. Gaudence Mpangala (RUCU), alivishauri Vyama vya Upinzani kujiunga na kupambana na hali inayoendelea. "Hata CHADEMA wakija na Sera mpya hawatafanikiwa katika mazingira haya. Lazima watatue kiini cha tatizo."
Profesa Mpangala aliongezea kuwa, "Ni lazima watambue kuwa, mkakati uliopo ni kuua Upinzani nchini, Sasa wakitambua hilo ninaamini watachukua hatua stahiki."

‘Upinzani wajitathmini hamahama ya wabunge’
Kinacho takiwa si kujitathmini bali kukubali kuanza moja kuimarisha vyama vyao hususani ktk maeneo ya vijijini,
 
Kuna tatizo ndani ya CCM litatueni kwanza, ya kwenu yamewashinda mna kimbilia ya CHADEMA, ukiskia upashukuna ndo huo
 
Ila jamani tujaribu kuuweka wazi ukweli, hv vyama vya upinzani ni vitega uchumi vya watu fulani fulani. Ndio maana hata hawahangaiki kujitathmini ili kuweza kujiboresha na kujiimarisha vizuri
 
Bana kachemka,huitaji kuwa political scientist kuona hili.
Wakati mwingine ajivunze jambo kwa vitendo.
Unapomsikia mkuu wa kaya anasema yake,quite opposite na maneno ya Bana,unajiuliza mara nyingi kwanini haoni hilo banzi anakimbilia micro organism?
Sifa za kuishauri chadema hana labda kuibomoa.
 
Maoni yangu wafunguliwe kwenye kiza cha kusto fanya mikutano ya siasa,amshauri bwana yule na watu wale udui didhi ya upinzani uishe ,watu wishi kwa amani isio ya hofu katka upande wa upinzani,
 
Hii dunia mbona tunafanyana mazoba sana? Huwa natamani kulia machozi, yani mwana CCM kada kindakindaki bwana BENSON BANA anataka akawafanyie tathmini CDM ili kubaini tatizo la hamahama? Yaani anajidai hajui? Hivi kwa nini Afrika tunajivisha unafiki wa aibu kiasi hiki? SHITHOLE countries!
Mkitaka taifa lenu lisonge kamwe msiwasikilize hawa wanaojiita wasomi; mmekwisha!!

Sasa hapa anataka kuwaaminisha watu kwamba eti hawajui kiini cha hii hamahama; laah ama kweli.
 
View attachment 882409

Wachambuzi wa masuala ya siasa nchini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pamoja na RUCU, wamevitaka Vyama vya Upinzani nchini kujifanyia tathimini kufuatia hamahama ya Makada wao wa udiwani zaidi ya 100, pamoja na wa ubunge wapatao sita.
Dk. Benson Bana (UDSM) alisema huenda kuna tatizo linaloendelea ndani ya Upinzani na linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi haraka. "CHADEMA iache kukimbia tatizo wanapaswa kujiuliza kwa nini yanatokea wakati huu?"
Dk. Bana alieleza kuwa, "Wajifungie wafanye tathimini, kama hawawezi kujifanyia wawatafute hata watu wa nje .... binafsi nipo tayari kufanya hivyo tena bure kabisa."

Naye Dk. Richard Mbunda (UDSM) alieleza kuwa, hakuna sababu ya Wapinzani kuendelea kulalamika bila kurudisha imani yake kwa wananchi. "Kuendelea kulalamika siyo suluhu, wanatakiwa kupambana, siasa ni mapambano."

Prof. Gaudence Mpangala (RUCU), alivishauri Vyama vya Upinzani kujiunga na kupambana na hali inayoendelea. "Hata CHADEMA wakija na Sera mpya hawatafanikiwa katika mazingira haya. Lazima watatue kiini cha tatizo."
Profesa Mpangala aliongezea kuwa, "Ni lazima watambue kuwa, mkakati uliopo ni kuua Upinzani nchini, Sasa wakitambua hilo ninaamini watachukua hatua stahiki."

‘Upinzani wajitathmini hamahama ya wabunge’
Katika Phd za kipumbavu hapa Tanzania ni pamoja na huyu Bwana Bana. Ile nyingine simunaijua?
 
Tatizo kubwa chadema kimekuwa Chama cha kilutheri.
Chama chetu cha Mapinduzi kimethibitisha ni cha kiislamu kwa kuwa na Katibu na mrithi wake muislamu. Chunga mtazamo wako wa kidini hata kama ndiyo sera yenu.
 
View attachment 882409

Wachambuzi wa masuala ya siasa nchini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pamoja na RUCU, wamevitaka Vyama vya Upinzani nchini kujifanyia tathimini kufuatia hamahama ya Makada wao wa udiwani zaidi ya 100, pamoja na wa ubunge wapatao sita.
Dk. Benson Bana (UDSM) alisema huenda kuna tatizo linaloendelea ndani ya Upinzani na linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi haraka. "CHADEMA iache kukimbia tatizo wanapaswa kujiuliza kwa nini yanatokea wakati huu?"
Dk. Bana alieleza kuwa, "Wajifungie wafanye tathimini, kama hawawezi kujifanyia wawatafute hata watu wa nje .... binafsi nipo tayari kufanya hivyo tena bure kabisa."

Naye Dk. Richard Mbunda (UDSM) alieleza kuwa, hakuna sababu ya Wapinzani kuendelea kulalamika bila kurudisha imani yake kwa wananchi. "Kuendelea kulalamika siyo suluhu, wanatakiwa kupambana, siasa ni mapambano."

Prof. Gaudence Mpangala (RUCU), alivishauri Vyama vya Upinzani kujiunga na kupambana na hali inayoendelea. "Hata CHADEMA wakija na Sera mpya hawatafanikiwa katika mazingira haya. Lazima watatue kiini cha tatizo."
Profesa Mpangala aliongezea kuwa, "Ni lazima watambue kuwa, mkakati uliopo ni kuua Upinzani nchini, Sasa wakitambua hilo ninaamini watachukua hatua stahiki."

‘Upinzani wajitathmini hamahama ya wabunge’
Prof Mpangala anaweza kutusaidia kuelewa zaidi. Huo mpango ni wa nani, kwa masilahi yapi na unaendeshwaje?
Natamani kama wahandishi waliokuwepo wangeuliza hayo maswali na mengineyo ambayo yangelitupatia taarifa zaidi.
 
Kinacho takiwa si kujitathmini bali kukubali kuanza moja kuimarisha vyama vyao hususani ktk maeneo ya vijijini,
Jerry huko ndiko kujitathimini. Ukisema waanze kujiimarisha maeneo ya vijijini, ni kwa sababu umegundua hawako effective huko, right?
 
Prof Mpangala anaweza kutusaidia kuelewa zaidi. Huo mpango ni wa nani, kwa masilahi yapi na unaendeshwaje?
Natamani kama wahandishi waliokuwepo wangeuliza hayo maswali na mengineyo ambayo yangelitupatia taarifa zaidi.
Hawakufanya press co. bali ni juhudi za Gazeti kuwatafuta na kuwauliza. Probably aliyekuwa anamuuliza Mpangala alipaswa kumbana zaidi.
Surely, Mpangala naona anajiamini sana kwenye comments zake coz the guy has got nothing to lose - yuko Chuo cha binafsi.
 
Yaani vijana wa Tz hamnazo kabisa yaani dokta kaonge unampinga wakati unayempinga hat unesi haujafikia,
 
Ati nini? habha ha haaa we jamaa umetumia fasihi kali
Toka lini alishawahi kuipenda au Kuwazia mema CHADEMA?
Huyo Professor ana Akili timamu?
Naona naye anatafuta heading ili mtukufu ampe uDC.

Mimi namshauri jambo moja tu, aende kisarawe akamuulize vizuri jokate alifanya nini akapewa udc? Na kutokea hapo naye ajipange kuutafuta huo uDC
 
View attachment 882409

Wachambuzi wa masuala ya siasa nchini kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pamoja na RUCU, wamevitaka Vyama vya Upinzani nchini kujifanyia tathimini kufuatia hamahama ya Makada wao wa udiwani zaidi ya 100, pamoja na wa ubunge wapatao sita.
Dk. Benson Bana (UDSM) alisema huenda kuna tatizo linaloendelea ndani ya Upinzani na linatakiwa kutafutiwa ufumbuzi haraka. "CHADEMA iache kukimbia tatizo wanapaswa kujiuliza kwa nini yanatokea wakati huu?"
Dk. Bana alieleza kuwa, "Wajifungie wafanye tathimini, kama hawawezi kujifanyia wawatafute hata watu wa nje .... binafsi nipo tayari kufanya hivyo tena bure kabisa."

Naye Dk. Richard Mbunda (UDSM) alieleza kuwa, hakuna sababu ya Wapinzani kuendelea kulalamika bila kurudisha imani yake kwa wananchi. "Kuendelea kulalamika siyo suluhu, wanatakiwa kupambana, siasa ni mapambano."

Prof. Gaudence Mpangala (RUCU), alivishauri Vyama vya Upinzani kujiunga na kupambana na hali inayoendelea. "Hata CHADEMA wakija na Sera mpya hawatafanikiwa katika mazingira haya. Lazima watatue kiini cha tatizo."
Profesa Mpangala aliongezea kuwa, "Ni lazima watambue kuwa, mkakati uliopo ni kuua Upinzani nchini, Sasa wakitambua hilo ninaamini watachukua hatua stahiki."

‘Upinzani wajitathmini hamahama ya wabunge’

Huyu mzee mwehu kabisa....

Njaa mingi mno....How can I trust mtu mwenye njaa?Never..

Hata kama ameeongea point,but alishakua proven ni mtu wa njaa..sasa kumuamini ni issue..

By the way Tanzania has overtaken South Africa to no.5 most populous country in Africa,and still CCM hasnt produced anything to feed these people.
 
Mpangala analifunika hili Li-Haya mbali sana.....Sijawahi ona Haya nafiki kama hili zee.....

Wahaya ni watu very smart na sio sellout kama hili jitu.....
 
Ubinafsi, uchoyo, makundi (yenye maslahi binafsi) yanaweza kuligawa taifa kwa kupambwa na nyimbo za uzalendo wa kikasuku.
Vyama vingi vina faida zaidi kwa taifa na jamii kuliko inavyofikiriwa;
- Huthibitisha utekelezaji wa demokrasia kivitendo
- Husaidia kubadilisha madaraka kwa amani (chama tawala chawaza kung'ang'ani madarakani hata kama wananchi hawakitaki) na njia pekee ya kukitoa ikawa ni nguvu.
- Wachache huskika maoni na fikra zao.
- Wengi hupata fursa za kushiriki siasa.
- Watu hupingana kwa hoja na viongozi wa serkali hujifunza kwa hoja hizo.
- Husaidia kupunguza matumizi mabaya ya madaraka, nguvu kupita kiasi, kufunga watu bila sababu za msingi, adhabu zisizoendana na makosa na hata ulevi wa madaraka.

Uzalendo wa kweli ni kulea vyama vya upinzani kwa mustakabali mwema wa taifa, pia kuitii na kuilinda katiba.
Ni muhimu kumuunga mkono Rais kwa mambo mazuri anayoyafanya kwa taifa lake, pia kushiriki katika kujenga taifa lenye demokrasia ya vyama vingi.
Ni upumbavu tu na mtazamo finyu unaosababishwa na tamaa binafsi au makundi kupata vyeo, kuhama vyama kwa kisingizio cha kuunga mkono juhudi za Rais.
Jamii kwa ujumla lazima ielimishwe umuhimu wa vyama vingi na pia kuepuka viongozi wenye tabia ovu au wale wafuta upepo (wachumia tumbo).
Hata hivyo, changamoto ni kwamba viongozi wabovu hutokana na jamii mbovu.
 
Back
Top Bottom