Mwanandani
Senior Member
- Apr 5, 2012
- 195
- 44
Nipo monduli namtafutafu nizungumze nae uso kwa uso.ntaleta abari za kweli muda mfupi ujao.
Diwani wa Monduli na M/kiti wa Uvccm Monduli Julius Kalanga ametangaza rasmi kumfuata rafiki yake Nillya Chadema. Kwenye FB yake aliulizwa na mtu fulani kama atamfuata rafiki yake Millya Chadema au la yeye akajibu, siwezi kumwacha rafiki yangu aende mwenyewe huko. Itakuwa pigo jingine kubwa kwa CCM kwani jamaa ni kichwa yaani jembe la nguvu na ana ufuasi mkubwa sana Monduli. Yeye atachukua Monduli, Millya Sumanjiro, jamani Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Ngome ya Lowassa iko Monduli si rahisi kiasi hicho
Nipo monduli namtafutafu nizungumze nae uso kwa uso.ntaleta abari za kweli muda mfupi ujao.
Labda ni kabla ya recent developments, hajtembelea wall yake ku-update.Nimesoma kwenye wall yake anaifagilia ccm kuwa ni chama kubwa.
Tunakusubiri.
M4C milele
2nataka Ushahd mezani
source kasema ni kupitia mtandao wa kitabu cha uso
FACEBOOK!